Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Zipo tetesi kuwa hukumu iliyotolewa na mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai (ICC), haikotolewa ktk makao makuu ya mahakama hiyo yaliyopo The Heague Uholanzi, bt mahakama ilihamia hotel ya Movenpick kwa majaji kadhaa kuja na kunegotiate na vigogo wa serikali huku RA akiwa sehemu ya washiriki.