TZ inaweza vita vya kwenye internet au twaachia uso watandike ngumi wapendavyo?

Ubungoubungo

JF-Expert Member
Jul 28, 2008
2,502
739
Jamani, wakenya wanatupiga vita kwenye internet wapendavo, lakini sisi hata hatujibu mashambulizi kutetea nchi yetu..naomba tushirikiane popote pale tutakapoona wanatushambulia kwenye net popote pale duniani, tujibu mashambulizi kwa hoja...

THE MAASAI MARA WILL DIE | Facebook

WEB hii hapa WAKENYA WAME POST DOCUMENT ZETU ZA TANAPA, najiuliza imekuwaje document za Tanapa zikawa mikononi mwa wakanye na wanazitumia facebook...blog yao yenye doc ni ii hapa

Boyd Norton Wilderness Photography
 

Attachments

  • 1st DOC WAKENYA WAMEWEKA FACEBOOK KUTUPIGA VITA.pdf
    1.8 MB · Views: 85
Jamani, wakenya wanatupiga vita kwenye internet wapendavo, lakini sisi hata hatujibu mashambulizi kutetea nchi yetu..naomba tushirikiane popote pale tutakapoona wanatushambulia kwenye net popote pale duniani, tujibu mashambulizi kwa hoja...

THE MAASAI MARA WILL DIE | Facebook

WEB hii hapa WAKENYA WAME POST DOCUMENT ZETU ZA TANAPA, najiuliza imekuwaje document za Tanapa zikawa mikononi mwa wakanye na wanazitumia facebook...blog yao yenye doc ni ii hapa

Boyd Norton Wilderness Photography

Nimeona facebook, asante kwa upande wangu. umekosea, aliyeweka izo doc mbili sio mkenya hapo kwenye blog yake, ni mzungu sijui ni mzungu mwenye kampuni ya utalii kenya? soma vizuri. document ingine aliyoweka ni hii.

Loliondo-Serengeti Road Report
 
MTU mbaya sana anayepiga vita kwa nguvu mle nimeona anaitwa Uwe Skrzypczak
ni mpiga picha sijui wa nchi gani, ndo anasambaza upupu kama nini huko nchi za nje..amepiga picha serengeti, lakini hakuna hata sehemu moja ame mention Tz, anamention kenya tu na ye ni mzungu..ajabu kweli...website zake ni hizi hapa:

1.Leaving Facebook... | Facebook

2. Leaving Facebook... | Facebook

3. Uwe Skrzypczak | Facebook

4. Leaving Facebook... | Facebook

5. Leaving Facebook... | Facebook

6. http://www.facebook.com/uwe.skrzypczak

wakenya wametushambulia huko nje hatuna hata hali nakwambia...thanks mpeni sifa yesu kwa post lakini nilishaweka yangu kama iyo..
 
MTU mbaya sana anayepiga vita kwa nguvu mle nimeona anaitwa Uwe Skrzypczak
ni mpiga picha sijui wa nchi gani, ndo anasambaza upupu kama nini huko nchi za nje..amepiga picha serengeti, lakini hakuna hata sehemu moja ame mention Tz, anamention kenya tu na ye ni mzungu..ajabu kweli...website zake ni hizi hapa:

1.Leaving Facebook... | Facebook

2. Leaving Facebook... | Facebook

3. Uwe Skrzypczak | Facebook

4. Leaving Facebook... | Facebook

5. Leaving Facebook... | Facebook

6. http://www.facebook.com/uwe.skrzypczak

wakenya wametushambulia huko nje hatuna hata hali nakwambia...thanks mpeni sifa yesu kwa post lakini nilishaweka yangu kama iyo..

hii kitu kumbe ni burning issue kiasi hiki huko kenya!
 
Back
Top Bottom