Tz haiishi fursa

Malila

JF-Expert Member
Dec 22, 2007
5,149
4,674
Gazeti la mwananchi la tarehe sita septemba,ukurasa wa kumi lina habari nzuri sana. Kumbe kuna jamaa/majangiri wanakamata vinyonga wenye pembe moja kichwani na kuwauza kwa dola 60 mpaka dola 100 kwa njia haramu. Vinyonga hawa wanapatikana Uluguruni tu hapa duniani ( hata home kwetu wapo), kabla hujashangaa sana na kinyonga huyo, Mvomero kuna vipepeo wa pembetatu (sijui wanafananaje) na jamaa wanapiga dili kiaina, kuna nyoka wanazaa huko milima ya Usambara,na wanakaa ktk mti mmoja kama nyumba zao.

Sasa ni wakati wa sisi kushiriki ktk kufaidi hizi fursa tulizopewa bure na Muumba.
 
yaani kuna biashara ambazo zipo very unique .... hazihitaji hata patent right (copy right) ni kuuza tu hakuna wa kuiga... hakuna haja ya kuogopa .... naungana na mkuu Malila kwa hili ... sasa ni wakati wa watanzania kutumia zawadi hizi tulizopewa ..... nadhani tunahitaji ku dwell information za kutosha za masoko ya biashara kama hizi hata ikibidi kuingia gharama ya kutafuta consultant wa masoko haya aliye nje ya nchi
 
Nimejaribu kupiga hesabu ndogo, ukikamata vinyonga kumi tu na ukafika nao dsm kutoka hapo Morogoro una wastani wa Tsh 1,00,000/ safi, kumbuka mtaji wako hapa ni muda wako,nauli na posho ya vijana,ukiweza kumpata jamaa wa maliasiri akakwambia vinyonga walipo na posho yake ( Vibali kama kawaida)vijana wa kijijini ukimpa laki moja akukamatie vinyonga, baada ya sekunde chache una vinyonga lundo. Mchana huo huo unageuza na Abood Bus hadi kwa mteja wako na biashara imeisha.

Ukisoma vizuri lile gazeti,unagundua kwamba,wale jamaa wa maliasiri wanajua vizuri soko la hawa vinyonga na dealers ni kina nani.
 
Mkuu malila hata mcha tunaokanyaga TZ ni biashara tupu.... yatakiwa tuamshwe ya viboko vya upupu..!!! hadi inatia hasira..
Asante kwa maarifa na heshima mbele..!!
 
Back
Top Bottom