William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mkuu Idimi,
Heshima mbele, Kissoki kutoka Iringa, alikuwa one of the Mwalimu's man, yeye na Mzee Mwangoka, kutoka Mbeya, walikuwa almost kama ndugu kutokana na kufanana tabia, alikuwa ni kiongozi aliyefikia rank ya u-RC huko mkoa wa Iringa, kwa muda mrefu baada ya RC wa zamani huko Marehemu Dr. Kleruu, kuuliwa kwa risasi na mwananchi mmoja anayeitwa Mwamwindi, ambaye alikasirishwa sana na kitendo cha Dr. Kleruu, kwenda mashambani mwao huko kijijini siku ya Jumapili na kuwakaripia kuhusu kutomwagilia mashamba yao, na hasa huyo mkuu Mwamwindi, aliyekwenda ndani ya nyumba yake na kutoka na gobole na kumuuua RC huyo, na baadaye kuuchukua mwili wake na kuupeleka kituo cha polisi na yeye kuwafahamisha polisi kuwa ameleta mwili uko kwenye gari,
Kissoki, alikuwa ni kiongozi safi asiyekuwa mwizi, alkini hakuwa na elimu ya kutosha kama sio kutokuwa nayo kabisa, mwishoni mwa uzee wake alipewa kazi ya kuwa hakimu wa wahujumu uchumi ambako alitengeneza pesa nyingi sana, akaamua kuoa msichana mdogo wa umri wa mjukuu wake, ambaye siku moja alimkamata akiwa kwenye compromise position kimapenzi na kijana mdogo mwenziwe, akaamua kumuuua kwa risasi yule kijana, alikamtwa na kuwekwa rumande kwa muda mrefu sana, akaishia kufa akiwa huko rumande,
Ninawafahamu watoto wake, ambao wamekuwa wakiishi Upanga, kwa muda mrefu ninaweza kukupa contact yao mkuu, isipokuwa I hope nimekusaidia angalau kidogo, ninaaamini kuna wengine hapa wanaoweza kuwa wanajua zaidi.
Ahsante Mkuu!
Heshima mbele, Kissoki kutoka Iringa, alikuwa one of the Mwalimu's man, yeye na Mzee Mwangoka, kutoka Mbeya, walikuwa almost kama ndugu kutokana na kufanana tabia, alikuwa ni kiongozi aliyefikia rank ya u-RC huko mkoa wa Iringa, kwa muda mrefu baada ya RC wa zamani huko Marehemu Dr. Kleruu, kuuliwa kwa risasi na mwananchi mmoja anayeitwa Mwamwindi, ambaye alikasirishwa sana na kitendo cha Dr. Kleruu, kwenda mashambani mwao huko kijijini siku ya Jumapili na kuwakaripia kuhusu kutomwagilia mashamba yao, na hasa huyo mkuu Mwamwindi, aliyekwenda ndani ya nyumba yake na kutoka na gobole na kumuuua RC huyo, na baadaye kuuchukua mwili wake na kuupeleka kituo cha polisi na yeye kuwafahamisha polisi kuwa ameleta mwili uko kwenye gari,
Kissoki, alikuwa ni kiongozi safi asiyekuwa mwizi, alkini hakuwa na elimu ya kutosha kama sio kutokuwa nayo kabisa, mwishoni mwa uzee wake alipewa kazi ya kuwa hakimu wa wahujumu uchumi ambako alitengeneza pesa nyingi sana, akaamua kuoa msichana mdogo wa umri wa mjukuu wake, ambaye siku moja alimkamata akiwa kwenye compromise position kimapenzi na kijana mdogo mwenziwe, akaamua kumuuua kwa risasi yule kijana, alikamtwa na kuwekwa rumande kwa muda mrefu sana, akaishia kufa akiwa huko rumande,
Ninawafahamu watoto wake, ambao wamekuwa wakiishi Upanga, kwa muda mrefu ninaweza kukupa contact yao mkuu, isipokuwa I hope nimekusaidia angalau kidogo, ninaaamini kuna wengine hapa wanaoweza kuwa wanajua zaidi.
Ahsante Mkuu!