TYSON FURRY amsujudia Wilder, awaonya AJ na Dillian Whyte wasiombe mechi na Wilder watafia uwanjani.

Aj anapigana kwa tactics ni kama mayweather tu very defensinve anapiga shots zake accurate sana na chache. He is always waiting mpaka round za baadae mpinzani wake aanze kuchoka ndo aatack with full power. Wielder is rather different yeye anapiga hardest shots zake mwanzoni mwa pambano. Anapiga bila plan shots zake nyingi sio accurate points zinakuwa chache wakati anapoteza nguv nying mno. AJ akiweza kumcontain mpaka round za mbele anachokaga kinoma wakati aj round zinavyoenda anazid kuwa balaa. I see AJ winning a KO on late rounds againts wielder

pambano la juzi mda unavozidi kwenda ndivo aj alivokuwa anazidi kuchoka,,mwisho wa siku kapigwa na chibonge aibu sana
 
Huyu AJ ni mzuri ila tatizo ni Pumzi. Jamaa anatakiwa kufanyia kazi sana ilo suala otherwise namuona yuko gwud na anaweza mkalisha Wilder vizuri tu
 
pambano la juzi mda unavozidi kwenda ndivo aj alivokuwa anazidi kuchoka,,mwisho wa siku kapigwa na chibonge aibu sana

Mazoezi yote aliyokuwa anafanya hakuna kitu yaani alikuwa kalegea mpaka unajuiliza vipi mbona huyu kakomaa sana vipi mbona? Akirushiwa konde anaziba tu sura,rudisha majibu kwa kurusha ngumi.
 
Mwenzio ashakumbana na kipigo pale alipolala sakafuni round #12. Wewe ni Nani Mpaka ukambishia mtu aliyekwisha test ngumi za Wilder???

Mkuu nikikumbuka nacheka sana, alikula bomba moja akalala kama dk 5 hv 🤣🤣
 
AJ anamapungufu mawili makuu

1. PUMZI INAKATA MAPEMA RND 5 HV

2. ANARUHUSU SANA NGUMI KUMFIKIA, HAJIZUII KIKAMILIFU
 
Wilder ana mkono mzito sana, jaribu kuangalia clip zake ndio utanielewa
 
IMG_5540.JPG
 
Back
Top Bottom