Typing errors za smartphones

Nilikuwa nachati na binti yangu kumsaidia kujibu hoja fulani. Sentensi iliyokusudiwa ilikuwa "ukiandika ndiyo yanahitajika maelezo ya kina" hapo kwenye neno kina likajiandikak**a.
Aisee, nilihangaika kusimamisha sms haikuwezekana. Nikaanza kuichukia simu.
Kila mmoja akawa kimya. Niliwaza mtoto atanielewaje? Nitarudije home? Halafu tulikuwa tunakaa wawili tu. Baadaye aliendelea na kuchati, nikamjibu niko busy asubiri nimalize kazi nitampigia. Mawasiliano yaliendelea bila mjadala wa lile kosa. Nikikumbuka huwa najisikia aibu kwa mwanangu.
Hahaha " mawasiliano yaliendelea bila mjadala wa lile kosa" imekaa kizazi sana
 
Mimi bwana, ile nashare video group flani la WhatsApp nikakosea nikashare sehemu mbili yaani wakati wa kuchek bahati mbaya nikaclick na sehemu nisio kusudia.

Kuja kucheki nimetuma na group jingine. Fasta Fasta nika delete. Dah si nikadelete for me badala ya for everyone.

Nilitamani nileft. Ile aibu.
jamanii
 
Nilikuwa nachati na binti yangu kumsaidia kujibu hoja fulani. Sentensi iliyokusudiwa ilikuwa "ukiandika ndiyo yanahitajika maelezo ya kina" hapo kwenye neno kina likajiandikak**a.
Aisee, nilihangaika kusimamisha sms haikuwezekana. Nikaanza kuichukia simu.
Kila mmoja akawa kimya. Niliwaza mtoto atanielewaje? Nitarudije home? Halafu tulikuwa tunakaa wawili tu. Baadaye aliendelea na kuchati, nikamjibu niko busy asubiri nimalize kazi nitampigia. Mawasiliano yaliendelea bila mjadala wa lile kosa. Nikikumbuka huwa najisikia aibu kwa mwanangu.

Binti pia kakausha, hehehehe!!!
Aibu za hovyoo sana, ila huwatokea wenye kupenda kutumia maneno machafu ambapo simu huwa inayatunza na kukufanyia auto-correction, inajazia na kukuwekea neno chafu ambalo hukukusudia.

Mimi imewahi kunitokea nilikusudia kutuma ujumbe kwa demu fulani tuliyekua tunataniana na kuitana honey, niliutuma ujumbe kwa binti, japo haukua ujumbe mchafu ila nilihangaika akili sana, sema naye kakaushia tu.
 
Mzee haingiagi whatsApp mara kwa mara sasa siku moja nikaona nikaona kaview status yangu sasa nikamuuliza huna bango leo... nikaona ona nimekosea kuanza ikabidi una sasa ile kuandika nikaandika una bangi duh afu na sio hiyo nilikua nakula vitu vyangu mhmm hapo hapo simu ikapigwa ehee we kijana vip tena kuniuliza kama nina bangi dah tuliishia kucheka tu
 
Back
Top Bottom