mangyi
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 718
- 867
Salamuni wakuu. Ase kuna kitu flani huwa kinatokea sana kwenye hizi smartphones zetu na sometimes kinapelekea mtu kujikuta anajicheka, sometimes kupelekea kuomba msamaha kwa maneno mengi ili ueleweke na uliyemtumia ujumbe na sometimes inapelekea pia wewe kushushwa heshima, n.k. Hii kitu ni TYPING ERRORS BHANA.
Nimepita pita kwenye uzi mmoja, nimekutana na hii:-
"Wao wanasema saa nne asubuhi ndo renewal imepita wakati kwa ufahamu wangu muda renewal inaitwa ndo muda ule uke uliojiunga mara ya mwisho."
Hii inasentensi inayoeleweka ila haikukusudiwa kuwa hivyo. Badala ya ULE ULE imekuja ULE UKE
Hebu tujuze ni TYPING ERROR gani umewah kuiandika na ikaleta sentensi inayoeleweka lakini halikua kusudio lako kuandika hivyo na ikawa msala.
KUONGEZEA
Au kwenye zile isue za kutuma tuma picha za ajabu kwa washkaji, ukajikuta umetuma picha kwa mtu mnayeheshimiana au kwenye group flani serious.
2020
Nimepita pita kwenye uzi mmoja, nimekutana na hii:-
"Wao wanasema saa nne asubuhi ndo renewal imepita wakati kwa ufahamu wangu muda renewal inaitwa ndo muda ule uke uliojiunga mara ya mwisho."
Hii inasentensi inayoeleweka ila haikukusudiwa kuwa hivyo. Badala ya ULE ULE imekuja ULE UKE
Hebu tujuze ni TYPING ERROR gani umewah kuiandika na ikaleta sentensi inayoeleweka lakini halikua kusudio lako kuandika hivyo na ikawa msala.
KUONGEZEA
Au kwenye zile isue za kutuma tuma picha za ajabu kwa washkaji, ukajikuta umetuma picha kwa mtu mnayeheshimiana au kwenye group flani serious.
2020