Ugonjwa wa Homa ya Matumbo (Typhoid): Dalili na tiba yake

Medecin

JF-Expert Member
Nov 29, 2011
7,895
21,301
Typhoid au kwa kiwahili Homa ya matumbo ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria anayeitwa Salmonella Typhi. Ugonjwa huu huambukizwa kwa mtu kula au kunywa chakula au maji yalio na kinyesi cha mu aliyambukizwa. Bakteria hawa hutoboa na kunyonya chakula kwenye tumbo la binadamu.

Naandika mada hii ili kushirikishana na wasomaji wangu na jamii kwa ujumla kutokana na mfanano mkubwa wa dalili za Typhoid na Malaria. Wengi hutibu malaria kwa kumeza dawa tu ambapo hupelekea kutokupona kumbe tatizo si malaria bali Typhoid. Na Typhoid ikichelewa kutibiwa huwa ni tatizo zaidi. Kwa hiyo fuatana nami katika mada hii upate kuujua vizuri ugonjwa huu wa homa ya matumbo

DALILI ZA TYPHOID
  • Homa kali
  • Kutoka kwa majasho mengi
  • Kuharisha (bila ya kutoa damu)
  • Mara nyingine, vitone vyekundu huonekana kwenye mwili.
Kwa kawaida, homa ya matumbo isipotibiwa hugawanyika katika hatua nne, kila hatua ikichukua takriban wiki moja.

Katika wiki ya kwanza:

  • Joto la mwili huongezeka
  • Kichwa huuma
  • Kukohoa
  • Damu kutoka kwa pua, ingawa tukio hili huwa ni nadra kutokea.
  • Maumivu ya tumbo pia huweza kutokea
Katika wiki ya pili:
  • Homa huongezeka
  • Mgonjwa huanza kupagawa, kama mwenda wazimu
  • Vitone vyekundu huanza kutokea kwenye kifua
  • Mgonjwa huharisha, takriban mara sita au nane kwa siku.
  • Kutapika kwa mgonjwa
  • Ini la mgonjwa huvimba
  • Homa ya mgonjwa huongezeka katika wakati wa alasiri kwenye wiki ya kwanza na ya pili.
Wiki ya tatu:
  • Matumbo hutoa damu.
  • Matumbo hutoboka
Wiki ya tatu ikimalizika, homa huanza`kutilia. Hii huendelea hadi wiki ya nne.

TIBA YA TYPHOID
Mara nyingi haishauriwi kununua dawa kabla ya kujua ni ugonjwa gani unakusumbua hivyo inashauriwa kwenda hospitali au maabara kupima ili kujua tatizo linalokusumbua.

Mara nyingi(NASISITIZA MARA NYINGI) homa ya matumbo haiuwi binadamu. Dawa kama ampicillin, chloramphenicol, trimethoprim-sulfamethoxazole, Amoxicillin and ciprofloxacin hutumika kutibu wagonjwa katika nchi zilizoendelea

KINGA YA HOMA YA MATUMBO
  • Usafi wa mazingara na wa kibinafsi ni hatua bora ya kujikinga kutokana na ugonjwa huu.
  • Homa ya matumbo haiathiri wanyama kwa hivyo maambukizi ni kutoka kwa binadamu mmoja hadi mwingine.
  • Homa hii huweza kuenea kwenye mazingara ambayo kinyesi cha binadamu hutangamana na vyakula vyao. Upishi wa makini na uoshaji mikono ni kingo bora zaidi kwa kuzuia maradhi haya kuenea.
  • Chanjo ni za aina mbili: moja inayotiwa kwa njia ya mdomo iitwayo Ty21a (au Vivotif Berna) na nyingine ya sindano kwa majina Typhim Viiliyotengenezwa na Sanofi Pasteur au Typherixiliyotengenezwa na GlaxoSmithKline
 
asante maana nimeanza dozi ya ciplo Leo asubuhi , nilikua naendesha vibaya sana mpaka nkaanza kutapika . typhord ninomaaaa

pole sana ndugu usijali utapona typhoid ikishapata tu dawa kwisha habari yake. ila jitahidi kunywa maji ya kutosha kuneutralize joto/homa pia hakikisha unakula vya kutosha
 
shukrani mleta mada. kwakuongezea, nchi zilizoendelea hutumia sana Azithromycinn na Cipro. hizo zingine zimeanza kupatwa na resistance.
 
shukrani mleta mada. kwakuongezea, nchi zilizoendelea hutumia sana Azithromycinn na Cipro. hizo zingine zimeanza kupatwa na resistance.

asante ndugu kwa kuongezea nyama mada hii
 
DAWA YA HOMA YA MATUMBO.jpg
TYPHOID FEVER.jpg


HAMJAMBO MARAFIKI?

DAWA YA KUTIBU MARADHI YA HOMA YA MATUMBO AKA TYPHOID FEVER

TYPHOID FEVER

Homa ya matumbo
Homa ya matumbo husababishwa na bakteria anayeitwa Salmonella Typhoid. Ugonjwa huu huambukizwa kwa mtu kula au kunywa chakula au maji yalio na kinyesi cha mu aliyambukizwa. Bakteria hawa hutoboa na kunyonya chakula kwenye matumbo ya binadamu.

Dalili ya Maradhi:
Homa kali
Kutoka kwa majasho mengi
Kuharisha (bila ya kutoa damu)
Mara nyingine, vitone vyekundu huonekana kwenye mwili.
Kwa kawaida, homa ya matumbo isipotibiwa hugawanyika katika hatua nne, kila hatua ikichukua takriban wiki moja.

Katika wiki ya kwanza:
Joto la mwili huongezeka
Kichwa huuma
Kukohoa
Damu kutoka kwa pua, ingawa tukio hili huwa ni nadra kutokea.
Maumivu ya tumbo pia huweza kutokea

Katika wiki ya pili:
Homa huongezeka
Mgonjwa huanza kupagawa, kama mwenda wazimu
Vitone vyekundu huanza kutokea kwenye kifua
Mgonjwa huharisha, takriban mara sita au nane kwa siku.
Kutapika kwa mgonjwa
Ini la mgonjwa huvimba
Homa ya mgonjwa huongezeka katika wakati wa alasiri kwenye wiki ya kwanza na ya pili.

Wiki ya tatu:
Matumbo hutoa damu.
Matumbo hutoboka
Wiki ya Matibabu[hariri | hariri chanzo]
tatu ikimalizika, homa huanza`kutilia. Hii huendelea hadi wiki ya nne.

Matibabu kwa dawa za kizungu
Mara nyingi, homa ya matumbo haiuwi binadamu. Dawa kama ampicillin, chloramphenicol, trimethoprim-sulfamethoxazole, Amoxicillin and ciprofloxacin hutumika kutibu wagonjwa katika nchi zilizoendelea.

DAWA YA KUTIBU HOMA YA MATUMBO DAWA YA TIBA ASILIA

FANYA HIVI:
Chukuwa Glasi 4 za Maji tia ndani ya jagi la maji changanya na nusu kijiko kidogo cha chumvi ya unga. Kisha tia ndani yake vijiko 6 vidogo vya sukari, kisha koroga vizuri hayo maji.

Matumizi yake: kunywa asubuhi kabla ya kula kitu glasi 1 mchana glasi 1 Jioni Glasi 1na usiku glasi 1 kila siku dawa ikiisha tengeneza dawa ingine utumie hiyo dawa kwa siku 30 utaweza kupona.

Hatua za kuzuia kupata homa hii

Usafi wa mazingara na wa kibinafsi ni hatua bora ya kujikina kutokamana na ugonjwa huu.
Homa ya matumbo haiathiri wanyama kwa hivyo maambukizi ni kutoka kwa binadamu mmoja hadi mwingine.
Homa hii hueza kuenea kwenye mazingara ambayo kinyesi cha binadamu hutangamana na vyakula vyao. Upishi wa makini na uoshaji mikono ni kingo bora zaidi kwa kuzuia maradhi haya kuenea.

Chanjo ni za aina mbili: moja inayotiwa kwa njia ya mdomo iitwayo Ty21a (au Vivotif Berna) na nyingine ya sindano kwa majina Typhim Vi iliyotengenezwa na Sanofi Pasteur au Typherix iliyotengenezwa na GlaxoSmithKline.

Ukitumia Dawa hujapona unaweza kunitafuta nikupe Dawa ya kuweza kukutibu ukapona kwa haraka zaidi.
 
View attachment 472136 View attachment 472140

HAMJAMBO MARAFIKI?

DAWA YA KUTIBU MARADHI YA HOMA YA MATUMBO AKA TYPHOID FEVER


TYPHOID FEVER
Homa ya matumbo
Homa ya matumbo husababishwa na bakteria anayeitwa Salmonella Typhoid. Ugonjwa huu huambukizwa kwa mtu kula au kunywa chakula au maji yalio na kinyesi cha mu aliyambukizwa. Bakteria hawa hutoboa na kunyonya chakula kwenye matumbo ya binadamu.

Dalili ya Maradhi:
Homa kali
Kutoka kwa majasho mengi
Kuharisha (bila ya kutoa damu)
Mara nyingine, vitone vyekundu huonekana kwenye mwili.
Kwa kawaida, homa ya matumbo isipotibiwa hugawanyika katika hatua nne, kila hatua ikichukua takriban wiki moja.

Katika wiki ya kwanza:
Joto la mwili huongezeka
Kichwa huuma
Kukohoa
Damu kutoka kwa pua, ingawa tukio hili huwa ni nadra kutokea.
Maumivu ya tumbo pia huweza kutokea

Katika wiki ya pili:
Homa huongezeka
Mgonjwa huanza kupagawa, kama mwenda wazimu
Vitone vyekundu huanza kutokea kwenye kifua
Mgonjwa huharisha, takriban mara sita au nane kwa siku.
Kutapika kwa mgonjwa
Ini la mgonjwa huvimba
Homa ya mgonjwa huongezeka katika wakati wa alasiri kwenye wiki ya kwanza na ya pili.

Wiki ya tatu:
Matumbo hutoa damu.
Matumbo hutoboka
Wiki ya Matibabu[hariri | hariri chanzo]
tatu ikimalizika, homa huanza`kutilia. Hii huendelea hadi wiki ya nne.

Matibabu kwa dawa za kizungu
Mara nyingi, homa ya matumbo haiuwi binadamu. Dawa kama ampicillin, chloramphenicol, trimethoprim-sulfamethoxazole, Amoxicillin and ciprofloxacin hutumika kutibu wagonjwa katika nchi zilizoendelea.

DAWA YA KUTIBU HOMA YA MATUMBO DAWA YA TIBA ASILIA

FANYA HIVI: Chukuwa Glasi 4 za Maji tia ndani ya jagi la maji changanya na nusu kijiko kidogo cha chumvi ya unga. Kisha tia ndani yake vijiko 6 vidogo vya sukari, kisha koroga vizuri hayo maji.

Matumizi yake: kunywa asubuhi kabla ya kula kitu glasi 1 mchana glasi 1 Jioni Glasi 1na usiku glasi 1 kila siku dawa ikiisha tengeneza dawa ingine utumie hiyo dawa kwa siku 30 utaweza kupona.

Hatua za kuzuia kupata homa hii

Usafi wa mazingara na wa kibinafsi ni hatua bora ya kujikina kutokamana na ugonjwa huu.
Homa ya matumbo haiathiri wanyama kwa hivyo maambukizi ni kutoka kwa binadamu mmoja hadi mwingine.
Homa hii hueza kuenea kwenye mazingara ambayo kinyesi cha binadamu hutangamana na vyakula vyao. Upishi wa makini na uoshaji mikono ni kingo bora zaidi kwa kuzuia maradhi haya kuenea.

Chanjo ni za aina mbili: moja inayotiwa kwa njia ya mdomo iitwayo Ty21a (au Vivotif Berna) na nyingine ya sindano kwa majina Typhim Vi iliyotengenezwa na Sanofi Pasteur au Typherix iliyotengenezwa na GlaxoSmithKline.

Ukitumia Dawa hujapona unaweza kunitafuta nikupe Dawa ya kuweza kukutibu ukapona kwa haraka zaidi.


Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu

Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Uzi mzuri
 
Hi

Samahani jamani mm mwenzenu yamenikuta Na hapa nipo dilema nashindwa nifanyanyaje kuna siku moja ivi nimetoka job zangu huko nikiwa nimefanya kazi Na kumaliza salama salimini lakini inapofika mida ya Jioni ghafla hali yangu ikachange Na kujihisi baridi Na kutoa jasho jingi sana nkajua huenda ni kawaida ya mwili lakini ile asubuhi ilipofika najikuta hamu ya kula nayo imetoweka kabisa, pamoja Na kichwa nacho kinauma, nguvu mwilini zikawa zimeniishia Na mwili kulegea sana moja kwa moja nikajua ni maralia nikaenda kununua dawa moja ivi inaitwa malafini,pamoja Na vitamini B nimekunywa Ndo nikazidiwa kabisa
Nikachukua maamuzi ya kwenda kupima mwili mzima kwa vipimo hivi vya kisasa baadae nikabainika Nina Nina tatizo LA ugonjwa wa typhoid, vidonda vya tumbo,tambazi,sukari kwenye mkojo,upungufu wa nguvu za kiume,maji yameisha pia mwilini kanipa dawa lakini naona Leo siku ya tano sina hamu ya kula kabisa jamani hapa naweza kufa mwenzenu naombeni mwenye kujua dawa ya kuongeza hamu ya kula kwa haraka anisaidie
 
Ndimu kwa sana, mitunda mingi. Usijali Mola you pamoja nawe,utapona tu
 
Hi

Samahani jamani mm mwenzenu yamenikuta Na hapa nipo dilema nashindwa nifanyanyaje kuna siku moja ivi nimetoka job zangu huko nikiwa nimefanya kazi Na kumaliza salama salimini lakini inapofika mida ya Jioni ghafla hali yangu ikachange Na kujihisi baridi Na kutoa jasho jingi sana nkajua huenda ni kawaida ya mwili lakini ile asubuhi ilipofika najikuta hamu ya kula nayo imetoweka kabisa, pamoja Na kichwa nacho kinauma, nguvu mwilini zikawa zimeniishia Na mwili kulegea sana moja kwa moja nikajua ni maralia nikaenda kununua dawa moja ivi inaitwa malafini,pamoja Na vitamini B nimekunywa Ndo nikazidiwa kabisa
Nikachukua maamuzi ya kwenda kupima mwili mzima kwa vipimo hivi vya kisasa baadae nikabainika Nina Nina tatizo LA ugonjwa wa typhoid, vidonda vya tumbo,tambazi,sukari kwenye mkojo,upungufu wa nguvu za kiume,maji yameisha pia mwilini kanipa dawa lakini naona Leo siku ya tano sina hamu ya kula kabisa jamani hapa naweza kufa mwenzenu naombeni mwenye kujua dawa ya kuongeza hamu ya kula kwa haraka anisaidie
Mkuu tafuta machungwa ya kutosha faster menya na ukae nayo pembeni kula yatakusaidia, nguvu na apetite, kipindi unamenya usitoe ule weupe wa chungwa baada ya ganda chungu ni dawa ya vidonda vya tumbo.
 
Back
Top Bottom