Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,271
- 2,401
Either him or whoever did that ni mwehu kweli. Nimecheki The Oval ya jamaa hadi episodes zilipoishia. Kiukweli huwezi tazama ile tamthilia na familia japo ni nzuri sana. Sasa kinachonishangaza kwenye lugha za matusi wana mute. Halafu kwenye ngono na ushoga wanaachia. Dah! Nashangaa sana.
Ni jambo gani linafanana fanana na hilo la huyu lejendari?
Ni jambo gani linafanana fanana na hilo la huyu lejendari?