Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,401
My take:
Mtu mweusi ni Kima aliechangamka.
Kima kutoa uzao wote huo haimuondolei sifa yake ya kuchangamka!Ni maoni yako, usilolijua huyo kina aliye changamka ndio mama wa uzao wote, pamoja na hao weupe unao wahusudu... human evolution.
Tayari walishatutengenezea hulka ya kuwategemeaTunaogopa COVID Tunaogopa Chanjo yao. Wa afrika kwa sasa tumejanjaruka kwanini mpaka leo karne ya Technology tutegemee Wazungu?
Hazima hata mshpa wa aibu. Hiyo tech unayoizungumzia kwa namna yoyote ile ni yao.Tunaogopa COVID Tunaogopa Chanjo yao. Wa afrika kwa sasa tumejanjaruka kwanini mpaka leo karne ya Technology tutegemee Wazungu?
Trash ni kuogopa chanjo.Ugonjwa wa Ndui ulitishia kuangamiza entire population ya dunia kipindi hicho lakini chanjo iliingilia kati na ku-rescure situation.Siku zote heshimu sana vitu viwili:Trash
Wazungu nao wanaogopa chanjo pia.
Idadi ya wazungu wanaoogopa chanjo ni negligible kama utalinganisha na idadi ya watu weusi wanaoogopa chanjo.Wazungu nao wanaogopa chanjo pia.