Columbus
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,002
- 648
Marekani waliona mbali, huwezi kuwa raisi wa Marekani kama wewe na familia yako ni masikini. Wanajua bunadamu kwa asili ni mbinafsi na akiwa masikini ndio mbaya zaidi ataanza kujinufaisha kwa wizi yeye na familia yake pamoja na jamaa zake. Mifano halisi tunaiona wazi katika nchi yetu, kijana mdogo tuliye graduate naye 2007 ana utajiri wa kutisha.