Twiga Stars(Tanzania Bara) wameigubika 12-0 timu ya Zanzibar

Wafujo

JF-Expert Member
Feb 10, 2021
448
997
Kwa kilichojiri hivi punde katika michuano ya CECAFA kwa upande wa wanawake. Twiga Stars(Tanzania Bara) wameigubika 12-0 timu ya Zanzibar.

Wafungaji wakiwa;
Opah Clement (magoli 4),
Mwanahamisi Omary "Gaucho"( Magoli 3),
Janeth Pangamwene (Goli 1),
Diana Msewa (Goli 1),
Enekia Lunyamila (Goli 1),
Protas Mbunda (Goli 1),
Ester Mabunza (Goli 1).

Twiga Stars imefanikiwa kuingia nusu fainali ya michuano hiyo ikiwa inaongoza kundi lao.

NB: Kesho magazetini hicho ndo kitakua kichwa cha habari katika gazeti la michezo (Time travelling).

View attachment 2252468
 
Bora hata wasingeshiriki! Goli 12!!! Au kama vipi wakati mwingine tuwapunguzie wachezaji wetu.

Maana tayari ni wategemezi wetu katika mambo mengi.
 
Ilitakiwa wasipeleke timu sasa
Tuko kwenye harakati za kutafuta kiti UN, tunaaaaanzia mbaaaaaaali, ila tumeanza kuona kama miali kwa mbaaaaaali, kwa yaliyopo sasa, kuna jitu tunaenda kuliweka kwapani na kupindua meza.

mdogo mdogo
 
Ona sasa ndo mana Zenj sisi wabara atuuziwi viwanja huwa tunawafanya vibaya sana wakina aammi J.
 
Kwa kilichojiri hivi punde katika michuano ya CECAFA kwa upande wa wanawake. Twiga Stars(Tanzania Bara) wameigubika 12-0 timu ya Zanzibar.

Wafungaji wakiwa;
Opah Clement (magoli 4),
Mwanahamisi Omary "Gaucho"( Magoli 3),
Janeth Pangamwene (Goli 1),
Diana Msewa (Goli 1),
Enekia Lunyamila (Goli 1),
Protas Mbunda (Goli 1),
Ester Mabunza (Goli 1).

Twiga Stars imefanikiwa kuingia nusu fainali ya michuano hiyo ikiwa inaongoza kundi lao.

NB: Kesho magazetini hicho ndo kitakua kichwa cha habari katika gazeti la michezo (Time travelling).

View attachment 2252468
Enekia Lunyamila ni mtoto wa Edibily Lunyamila au ?
 
Back
Top Bottom