Kidasa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 309
- 108
Nasema twenzetu milimani Moshi kwa ajili ya kuondoa stress,Hakika sijutii kuwa na siku kumi na nne kwa ajili ya kwenda kusalimia nyumbani kila mwaka ,hua nikirudi akili yangu inakuwa fresh sana kwa ajili ya kusaka upya pesa.
Inapofika kuanzia tarehe 23.12 hadi 02.1 ni mfulilizo wa sherehe nyumba moja hadi nyingine,huku mnapata muda wa kwenda town,unatua Malindi Club,Mr Price,East Africa Pub,Pub Alberto stress zote kwishneee.
Nikirudi zangu Dar nipo saafi. KARIBUNI TUJUMUIKE PAMOJA.
- Nasikiaga kitu cha pekee kwenye akili yangu ninapoamka asubuhi saa 3 nataza Mlima Kilimanjaro,theluji inavyotiririka,ubariki mzuri, ah naburudika kwa kweli.
- Nikitazama garden nzuri iliyopambwa vizuri kwenye nyumba yangu,nikiangalia migombani ukijani ulivyotulia,ooh nafsi inaburudika haswa
Inapofika kuanzia tarehe 23.12 hadi 02.1 ni mfulilizo wa sherehe nyumba moja hadi nyingine,huku mnapata muda wa kwenda town,unatua Malindi Club,Mr Price,East Africa Pub,Pub Alberto stress zote kwishneee.
Nikirudi zangu Dar nipo saafi. KARIBUNI TUJUMUIKE PAMOJA.