Mohamed Mbelwa
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 507
- 272
Watanzania wenzangu wapenda mabadiliko nawaomba tuelekeze nguvu katika wilaya ya kilindi, kwani pamoja na serikali hii kuwanyima maendeleo lakini bado hawana elimu ya uraia kujua ni namna gani wanaweza kuiadhibu.
%kubwa wamelala usingizi mzito ,chondechonde twendeni kilindi
%kubwa wamelala usingizi mzito ,chondechonde twendeni kilindi