TWAWEZA: Katika Watanzania watatu, Wawili wanataka Katiba Mpya

Tuache mob psychology,katiba iliyopo we imekuathiri kitu gani ukiachana na hao wenye kutaka madaraka ili hiyo katiba mpya iwarahisishie.
kwa mtu mfuata upepo wala hajui hilo mkuu yeye akisikia tu chadma wanataka katiba mpya na yeye yumo hizo ni njaa za wanasiasa kutaka madaraka lakini mwana nchi wa kawaida hakuna utakachofaidika na hiyo katiba mpya zipo ktiba mpya baadhi ya nchio na haziwaletei maendeleo wananchi watawala wanafanya wanavyotaka tulilie maendeleo siyo vitu visivyo na uharaka kama katiba maana na yenyewe inataka hela pia
 
Tuache mob psychology,katiba iliyopo we imekuathiri kitu gani ukiachana na hao wenye kutaka madaraka ili hiyo katiba mpya iwarahisishie.
Wewe hiyo Katiba mpya inakuogopesha kabla hata hatujaiandika!Hii Katiba chakavu inakiwezesha chama chakavu kupora chaguzi,unafaidika na wizi huo?
Umepagawa!
 
wale wapika data wa alevel kwenye practical za Physics/Chem wakafeli, naona wamefika huku, na watafeli tena na hizi tafiti
 
Kutokana na mapito tuliopitia katiba inahitajiwa Sio tu na wananchi bali pia na viumbe VYOTE hapa tz!!hata twiga wanaihitaji!si mnakumbuka wanyama walivohamishwa kwa nguvu kwenda chato tena KWA kuzibwa macho!?unafikiri walipenda!?wanataka katiba Mpya hao!!!
 
Wewe hiyo Katiba mpya inakuogopesha kabla hata hatujaiandika!Hii Katiba chakavu inakiwezesha chama chakavu kupora chaguzi,unafaidika na wizi huo?
Umepagawa!
kumbe kelele za katiba mpya ni kwaajili ya uchaguzi tu siyo maslahi mapana ya raia wa tanzania?
 
kumbe kelele za katiba mpya ni kwaajili ya uchaguzi tu siyo maslahi mapana ya raia wa tanzania?
Uchaguzi gani unaongelea?Wanaokataa katiba mpya ndio wanaosingizia kuwa wanaodai katiba mpya wanataka madaraka,nami nilichohoji ni kuwa wanaokataa katiba mpya wanaitumia hii katiba mbovu kupora chaguzi maana haina vipengele vya kuwawajibisha akina Jecha na Mahera pamoja na uharamia walioufanya.
Sisi wananchi wa Tanzania tunataka kuandika katiba mpya.Wanaopinga ni wapinzani wa wananchi?
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom