Aibu Aibu Bila Shaka Ni Kwa Dodoma YenyeweAibu kivipi?
Si wamekosa Tu wateja?
Labda aibu Kwa Dodoma inayojiita jiji..
Unaona ni sawa kweli?leo sijui kesho wasafi wana pre party dodoma kiingilio 20,000 patajaa ,mjengoni band ya arusha huwa wanapajaza hapo Royal kwa band inayotunza status wangevunja show tu watu warudushiwe kiingilio wajifanye hata vyombo vimezengua
yuko kenya anaendelea na mziki hata week hii mkesha wa new year anapiga show ingia instagram yake,kenya bado ana mashabiki nafkiri kuna label inamtunza kuleHuu upepo utakuja kumpitia msanii anayejidai nyota wa sasa
Mr nice kadata naskia analiwa pesa kwenye pool table na wahuni hawamuungii hata jero mpaka mshkija kaamua ku switch now anaimba gospel lakini bado
Hama nchiAibu kivipi?
Si wamekosa Tu wateja?
Labda aibu Kwa Dodoma inayojiita jiji..