Wanafunzi wa elimu ya juu hatujapewa hela zetu za mkopo,najiuliza kulikoni? katika utawala jambo la utoaji wa taarifa huwa ni muhimu watu angalau wapate matumaini! Au tunabaguliwa kwkuwa sio vyuo vya serikali?mana UDSM,MKWAWA,DUCE wamepewa ila STEMMUCO hatujapewa