Hao UDOM ni warugaruga 2, washamba wa vijijini hata vyoo vya kuflash hawajui kutumia. Mdogo wangu kaenda kuanza chuo juzi anasema huko watu wanabonga kigogo, kinyaturu, kinyakyusa yani kama kijijini. Hata hostel nzuri na vyoo walivyojengewa hawawezi kutumia, wanajisaidia hovyo, ukichangia na hali ya maji mkoa ule ni tabu tupu! Yani ni washamba ni waoga wa serikali, hawaelewi somo kwa CCM. Nina wasiwasi kama elimu itawakomboa!