Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu leo kuna pambano la Ngumi Kati ya Kiduku na Muarabu anatoka Misri
.
Mimi ninachokiona ni Kwamba Hili hawa Vijana wetu Wawe Bora.
1. Wacheza Haya mapambano nje ya Tanzania pia ili tuone Ubora wanaouonesha wakiwa nje ya Tz.
.
2. Watafutiwe Mabondia wenye Ubora Zaidi.
.
Mabondia wengi wanaoletwa Huku Ni wale ambao hawana Ubora na ndio maana tunaona kama Mabondia wetu wana Ubora Zaidi.
.
Hivyo basi Ubora Huu wanaouonesha Huku Tanzania wakauoneshe pia nje ya Tanzania.
.
I stand to be Corrected
.
Hance Mtanashati screpa Nk Nk Nk
.
Mimi ninachokiona ni Kwamba Hili hawa Vijana wetu Wawe Bora.
1. Wacheza Haya mapambano nje ya Tanzania pia ili tuone Ubora wanaouonesha wakiwa nje ya Tz.
.
2. Watafutiwe Mabondia wenye Ubora Zaidi.
.
Mabondia wengi wanaoletwa Huku Ni wale ambao hawana Ubora na ndio maana tunaona kama Mabondia wetu wana Ubora Zaidi.
.
Hivyo basi Ubora Huu wanaouonesha Huku Tanzania wakauoneshe pia nje ya Tanzania.
.
I stand to be Corrected
.
Hance Mtanashati screpa Nk Nk Nk