Adui mkubwa wa boxer anapokua kwenye ring ni muda.
Unawezaje kumsoma mpinzani wako haraka na kufanya maamuzi haraka.
Kwa kuzingatia mchezo uliopita Kati ya bondia hawa ni lazima kila mmoja afanye marekebisho makubwa.
Dulla ni mrefu kidogo kuliko Twaha naamini ataendelea kucheza kwa kurudi nyuma (back pedal) na kwakua hana footwork nzuri lazima apunguze mashambulizi ya Twaha kwa kupiga na kurudi nyuma na pale Twaha anapoingia lazima amkumbatie ( clinching) ili kurefusha muda na kumchosha mpinzani wake. Bila kutumia style hii ushindi wake utakua wa mashaka au utatokea ghafla kama ushindi mwingine wa kushtukiza unavyotokea kwnye ngumi.
Ili Twaha ashinde lazima aboreshe mbinu za kuingia ndani ili ashambulie. Anatakiwa aongeze speed ya kuingia na atumie hook punch (ngumi za nusu duara) kwenye mbavu ili kushusha kimo cha Dulla na kujirahisishia kutumia cross Punch na Upper Cut ili kumaliza pambano kwa KO.
NB; Nauona ushindi wa Dulla kwa point na ninauona ushindi wa Twaha kwa KO na TKO.
Boxing ni combat game chochote chaweza kutokea wakati wowote.
Isha jazwa mafuta ya kwenda MorogoroMotokaa inabaki DAR...Dullah nipigie mtu aisee.
Wewe jamaa ni fundi hasa,utakua mwalimu wa ngumi wewe.Adui mkubwa wa boxer anapokua kwenye ring ni muda.
Unawezaje kumsoma mpinzani wako haraka na kufanya maamuzi haraka.
Kwa kuzingatia mchezo uliopita Kati ya bondia hawa ni lazima kila mmoja afanye marekebisho makubwa.
Dulla ni mrefu kidogo kuliko Twaha naamini ataendelea kucheza kwa kurudi nyuma (back pedal) na kwakua hana footwork nzuri lazima apunguze mashambulizi ya Twaha kwa kupiga na kurudi nyuma na pale Twaha anapoingia lazima amkumbatie ( clinching) ili kurefusha muda na kumchosha mpinzani wake. Bila kutumia style hii ushindi wake utakua wa mashaka au utatokea ghafla kama ushindi mwingine wa kushtukiza unavyotokea kwnye ngumi.
Ili Twaha ashinde lazima aboreshe mbinu za kuingia ndani ili ashambulie. Anatakiwa aongeze speed ya kuingia na atumie hook punch (ngumi za nusu duara) kwenye mbavu ili kushusha kimo cha Dulla na kujirahisishia kutumia cross Punch na Upper Cut ili kumaliza pambano kwa KO.
NB; Nauona ushindi wa Dulla kwa point na ninauona ushindi wa Twaha kwa KO na TKO.
Boxing ni combat game chochote chaweza kutokea wakati wowote.
Tupo pamoja show showTeam Twaha Kiduku
I second you mkuu ...Kiduku Yuko njema mnooHuyu kiduku anatakiwa kumtafuta kocha wa finishinģ tu ili kwenye kona ya ulingo amalize pambano,yupo vizuri sana