JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,302
- 5,441
Bondia huyo Mtanzania amefanikiwa kupata ushindi wa Mkanda wa Dunia WBF dhidi ya Victor Hugo kwa pointi 99-91, 99-91, 99-91 katika pambano la uzito wa kati ‘Super middleweight lililofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.
Pambano hilo la Raundi 10 lilikuwa la ushindani mkali, Kiduku akimpiga ngumi nyingi mpinzani wake lakini alikuwa akirejea na kuendelea kupigana kama kawaida.
Pambano linaendelea
Pambano hilo la Raundi 10 lilikuwa la ushindani mkali, Kiduku akimpiga ngumi nyingi mpinzani wake lakini alikuwa akirejea na kuendelea kupigana kama kawaida.
Pambano linaendelea