mbongowakweli
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 841
- 671
Madereva wenzangu, faini tunazokumbana nazo kwa kipindi, nafikiri haijawahi tokea kwa miaka mingi mno.
Kweli makosa yanatendeka, rushwa hawataki, HAKUNA KUBISHA WALA KU CONTEST MAKOSA YAKO, AIDHA MAHAKAMANI WALA KWA TRAFIKI HUSIKA.
PIA HAKUNA KULIPA KIDOGO KIDOGO (INSTALLMENT), YAANI NI MZIGO WOTE, PAA..!
Je tunaelekea wapi?! Ghafla imekuwa chanzo kizuri sana cha mapato Serikalini, ghafla haya mafaini yamegeuka visasi kwa ma-Trafiki na madereva, ghafla umekuwa mradi kabambe sana, hasa baada ya ma-Trafiki kutuleta mjini kwa haraka na kuturudisha hivyo hivyo!
Dola imedhamiria kila kitengo husika lazima kizalishe pesa!
Labda ni mawazo yangu tu..Mnasemaje wenzangu?!
Kweli makosa yanatendeka, rushwa hawataki, HAKUNA KUBISHA WALA KU CONTEST MAKOSA YAKO, AIDHA MAHAKAMANI WALA KWA TRAFIKI HUSIKA.
PIA HAKUNA KULIPA KIDOGO KIDOGO (INSTALLMENT), YAANI NI MZIGO WOTE, PAA..!
Je tunaelekea wapi?! Ghafla imekuwa chanzo kizuri sana cha mapato Serikalini, ghafla haya mafaini yamegeuka visasi kwa ma-Trafiki na madereva, ghafla umekuwa mradi kabambe sana, hasa baada ya ma-Trafiki kutuleta mjini kwa haraka na kuturudisha hivyo hivyo!
Dola imedhamiria kila kitengo husika lazima kizalishe pesa!
Labda ni mawazo yangu tu..Mnasemaje wenzangu?!