TV1 na Channel ten wapo vizuri kwenye taarifa za habari 2016

amos eglan

JF-Expert Member
Sep 27, 2015
310
462
Habari za muda huu ndugu wana jf
Kiukweli kwa mwaka huu ukiniuliza vituo ambavyo taarifa zao za habari zilikuwa zenye mvuto kwangu basi ni TV 1 na channel ten kiukweli japo watu tumejenga mazoea ya kuwa taarifa za habari ni ITV na TBC lakini hawa jamaa wamejipanga aisee kuanzia watangazaji mpangilio wa habari na habari zenyewe nawapongeza sanaa haswa TV1 kituo kichanga lakini kimejipanga kwa hilo
Mwisho kabisa kituo ambacho taarifa zake za habari huwa hazinifuvii ni clouds TV hawa jamaa ki ukweli kwenye swala hili hawajajipanga hata kidogo na inaonesha hawaipi kipaumbele kabisaa labda programs nyingine za burudani maana hawa wanaweza hata taarifa ya habari waisogeze muda kwa ajili ya shilawadu na usomaji wao hauvutii kabisaaaa wajipange wao wana taarifa za habari za mheshimiwa makonda tu

Tbc one hawa jamaa taarifa zao za habari nao siku hizi znakosa mvuto kabisa maana wanaingiza siasa Sana na habari zenye upinzani hawawezi kuzirusha na taarifa za uzinduzi ndo zinatawala kingine picha hazina muonekano mzuri kabisaa muda mwingine zinakata kata


ITV Tanzania hawa tunawafahamu ni manguli kwenye urushaji wa taarifa za habari na Nina uhakika asilimia zaidi ya 70% ya waangalia habari hutumia kituo kimekuwa Kama kituo cha taifa kwa urushaji taarifa za habari lakini kitu wanachoboa ni taarifa za habari za michezo zao huwa ni kituko tuu

Star tv hawa taarifa yao bhana ni ndeefu kana kwamba ni Kama makala na habari zao zingine znachosha kuangalia Lakini wapo vizuri pia haswa habari za michezo na kimataifa nawakubaligi sana
 
Habari za muda huu ndugu wana jf
Kiukweli kwa mwaka huu ukiniuliza vituo ambavyo taarifa zao za habari zilikuwa zenye mvuto kwangu basi ni TV 1 na channel ten kiukweli japo watu tumejenga mazoea ya kuwa taarifa za habari ni ITV na TBC lakini hawa jamaa wamejipanga aisee kuanzia watangazaji mpangilio wa habari na habari zenyewe nawapongeza sanaa haswa TV1 kituo kichanga lakini kimejipanga kwa hilo
Mwisho kabisa kituo ambacho taarifa zake za habari huwa hazinifuvii ni clouds TV hawa jamaa ki ukweli kwenye swala hili hawajajipanga hata kidogo na inaonesha hawaipi kipaumbele kabisaa labda programs nyingine za burudani maana hawa wanaweza hata taarifa ya habari waisogeze muda kwa ajili ya shilawadu na usomaji wao hauvutii kabisaaaa wajipange wao wana taarifa za habari za mheshimiwa makonda tu

Tbc one hawa jamaa taarifa zao za habari nao siku hizi znakosa mvuto kabisa maana wanaingiza siasa Sana na habari zenye upinzani hawawezi kuzirusha na taarifa za uzinduzi ndo zinatawala kingine picha hazina muonekano mzuri kabisaa muda mwingine zinakata kata


ITV Tanzania hawa tunawafahamu ni manguli kwenye urushaji wa taarifa za habari na Nina uhakika asilimia zaidi ya 70% ya waangalia habari hutumia kituo kimekuwa Kama kituo cha taifa kwa urushaji taarifa za habari lakini kitu wanachoboa ni taarifa za habari za michezo zao huwa ni kituko tuu

Star tv hawa taarifa yao bhana ni ndeefu kana kwamba ni Kama makala na habari zao zingine znachosha kuangalia Lakini wapo vizuri pia haswa habari za michezo na kimataifa nawakubaligi sana
Kwa channel ten nakubali.. hawanaga unafiki. Wanafuata naadili ya taaluma yao
 
Habari za muda huu ndugu wana jf
Kiukweli kwa mwaka huu ukiniuliza vituo ambavyo taarifa zao za habari zilikuwa zenye mvuto kwangu basi ni TV 1 na channel ten kiukweli japo watu tumejenga mazoea ya kuwa taarifa za habari ni ITV na TBC lakini hawa jamaa wamejipanga aisee kuanzia watangazaji mpangilio wa habari na habari zenyewe nawapongeza sanaa haswa TV1 kituo kichanga lakini kimejipanga kwa hilo
Mwisho kabisa kituo ambacho taarifa zake za habari huwa hazinifuvii ni clouds TV hawa jamaa ki ukweli kwenye swala hili hawajajipanga hata kidogo na inaonesha hawaipi kipaumbele kabisaa labda programs nyingine za burudani maana hawa wanaweza hata taarifa ya habari waisogeze muda kwa ajili ya shilawadu na usomaji wao hauvutii kabisaaaa wajipange wao wana taarifa za habari za mheshimiwa makonda tu

Tbc one hawa jamaa taarifa zao za habari nao siku hizi znakosa mvuto kabisa maana wanaingiza siasa Sana na habari zenye upinzani hawawezi kuzirusha na taarifa za uzinduzi ndo zinatawala kingine picha hazina muonekano mzuri kabisaa muda mwingine zinakata kata


ITV Tanzania hawa tunawafahamu ni manguli kwenye urushaji wa taarifa za habari na Nina uhakika asilimia zaidi ya 70% ya waangalia habari hutumia kituo kimekuwa Kama kituo cha taifa kwa urushaji taarifa za habari lakini kitu wanachoboa ni taarifa za habari za michezo zao huwa ni kituko tuu

Star tv hawa taarifa yao bhana ni ndeefu kana kwamba ni Kama makala na habari zao zingine znachosha kuangalia Lakini wapo vizuri pia haswa habari za michezo na kimataifa nawakubaligi sana
kiukweli clouds kwenye Habar wanajpya wajpange
 
Channel ten ni wazuri lakini nao TV yao niya kizamani,picha hazina Mwanga mzuri,sio HD
 
Unayosema inaezekana ni kwel lakini kwa mtazamo wang;

ITV wako vizuri kwa habari za kitaifa maana wanan coverage kubwa almost Tanzania yote, Kwa habari za kimataifa Star Tv under Bw. Samadu Hassan wako vizuri sana, Habari za Biashara sijaona kwakwel (pengne labda sababu Tz hatuna waandishi wazuri wa Habari za Biashara), Michezo pia StarTv wako vizuri sana.

Hv TBC bado ipo tuu kwel??;)
 
Azam na ITV wapo vizuri kwa habari za kitaifa, ila kwenye biashara na michezo kidogo startv
 
Embu sema ueleweke ITV Habari za michezo ni kituko kivip?
ITV Mimi huwa naishia kuangalia habari za kitaifa tu lakini kuanzia habari za kimataifa wanalipua lipua tu,habari za michezo wanatangaza za ligi ya vodacom,basket ya chang'ombe,mashindano ya mpira wa net ball.Yaani habari zao za michezo zipo local sana sio international pia hawafafanui vizuri.
 
Back
Top Bottom