richaabra
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 1,454
- 3,469
Nimefuatilia kwa makini taarifa za habari za Clouds TV na TV 1. Nimegundua TV 1 yani wana waandishi smart sana hadi ninapata mood ya kuangalia taarifa yao ya habari tofauti na Clouds TV habari ya wapiga tarumbeta wakina Harris Kapiga, wanapiga makelele tu!