Jana kuanzia saa tatu usiku kipindi cha BBC swahili kilianza rasmi kurushwa kupitia STAR TV kilichonifurahisha ni mpangilio mzuri wa habari pamoja na picha, ninachojiuliza kwa nini TV za Bongo zinashindwa kuwa na mpangilio kama wa BBC?? mfano kwa habari za Bongo utakuta habari haiendani na picha au pengine utakuta mtangazaji amemaliza kuelezea tukio lakini picha inayokuja inachelewa dakika kadhaaa...... Watangazaji na mafundi mitambo jifunzeni japo kwa kuangalia BBC swahili.