bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 756
- 1,018
Poleni na majukumu
Nimeiwasha tv wakati naamka nikaona inaonesha mwanga kwa mbali sana kwenye kioo na maneno ya kampuni ya tv yanasomeka kwa mbali tatizo ni nini?
Tv aina ya Homebase ina miaka 3.
Natanguliza shukrani.
Nimeiwasha tv wakati naamka nikaona inaonesha mwanga kwa mbali sana kwenye kioo na maneno ya kampuni ya tv yanasomeka kwa mbali tatizo ni nini?
Tv aina ya Homebase ina miaka 3.
Natanguliza shukrani.