PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
WanaJF,
Ukiwa Zanzibar ninaamini unakamata stesheni nyingi tu za TV za Bara.
Lakini inakuwaje huku bara hatushiki stesheni za Zanzibar za TV?, au shida hii ni huku mkoani tu nilipo mimi?
Kwa wanaotumia antenna za CHADEMA, hapo ndo usijaribu kabisa, lakini mimi hata FTA-dish nimegonga ukuta, sikamati kitu toka Tanzania yetu ya Visiwani...Kunani?
Lakini, kimsingi ingekuwa ni jambo jema sana kama stesheni za Zanzibar zingekuwa zinakamata Bara vizuri, maana ingesaidia kuona hadharani baadhi ya mambo ambayo kwa sasa yanazua utata mwiingi bila sababu.
Naomba maoni yenu wanajamvi.
Ukiwa Zanzibar ninaamini unakamata stesheni nyingi tu za TV za Bara.
Lakini inakuwaje huku bara hatushiki stesheni za Zanzibar za TV?, au shida hii ni huku mkoani tu nilipo mimi?
Kwa wanaotumia antenna za CHADEMA, hapo ndo usijaribu kabisa, lakini mimi hata FTA-dish nimegonga ukuta, sikamati kitu toka Tanzania yetu ya Visiwani...Kunani?
Lakini, kimsingi ingekuwa ni jambo jema sana kama stesheni za Zanzibar zingekuwa zinakamata Bara vizuri, maana ingesaidia kuona hadharani baadhi ya mambo ambayo kwa sasa yanazua utata mwiingi bila sababu.
Naomba maoni yenu wanajamvi.