C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
word mkuubank sio rafiki wa masiki hata kidogo!
Kuna mifumuko ya mabenki ya kinyonya zaidi ya 100 tanzania.ni dalili hii industry inawalipa sana kwa style hizo.sera za mikopo ya mabenki na masharti sio rafiki wa wajasiriamali wadogowadogo ambao ndio chimbuko kubwa la povert eradication and econonomic development ya nchi changa kama tanzania.hasa kwakua tanzania haina wigo mpana wa kumeza ajira za product zote za wanavyuo wanao hitimu (universities/training college/veta) ni wazi kujiaajiri is inevitable ili kujikomboa.hata asili ya mediam anad large scale enterprises ni ujasiriamali mdogo(small enterprises) ila serikali hii ya sisiemu haina nia ya dhati kurekebisha mifumo ya fedha ili kuziwezesha banki kutengeneza sera bora za mikopo kw wajasiriamali wadogo.imagine dhamana wanazozitaka mabenki ni nyumba zenye title, je ni % ya nyumba za tanzania hazijapimwa? Udogo wa mishara kiduchu ya watz wengi hamuwezeshi mtanzania kupata mikopo ya kujenga nyumba za kisasa