Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,806
- Thread starter
- #21
Naomba nauli. Na huko Panama nafikia kwa nani?Nenda PM.
Naomba nauli. Na huko Panama nafikia kwa nani?Nenda PM.
Naomba tafsiri ya lugha ya mwingereza hapo juu nami nipate kudadavua na kujua maana
Weka kwanza cheti mezaniNaomba tafsiri ya lugha ya mwingereza hapo juu nami nipate kudadavua na kujua maana
Safi sana mkuu, ila kwan wengine hawaamini hivyo??naamini Mungu mmoja muumba wa vyote.
skuiz unaweza ukaangalia taarifa ukajakustuka hata hujui ulikuwa unafanya nini maisha yamebana mnooo
Weka kwanza cheti mezani
Cheti cha nini maana vyeti vipo vya aina nyingi wewe unaitaji kipi?Weka kwanza cheti mezani
Na nilikutibu wewe na ndugu zako na jamaa zako na mkapona ,kwani kulikuwa na haja ya cheti?Hana cheti huyo ila ni DK. na degree yake kapata Magomeni Kota.
Na nilikutibu wewe na ndugu zako na jamaa zako na mkapona ,kwani kulikuwa na haja ya cheti?
Ni kwa sababu ulizoea ubabaishaji....kama vyeti vyako viko sahihi hauna kuogopa kitu, utaishi kwa raha tu na jamii haitakucheka.
Ni Kukorea cha Pyongyang's vijijiniNaomba tafsiri ya lugha ya mwingereza hapo juu nami nipate kudadavua na kujua maana
Hahaahaahaaaskuiz unaweza ukaangalia taarifa ukajakustuka hata hujui ulikuwa unafanya nini maisha yamebana mnooo
acha ujinga mwanga wewe na akili za bwana yule wehu nyie baat mbaya ni kwamba kuna wanaonda speed zako ila wanakwama