Tuzungumzie maisha: Ni vitu gani muhimu kabla ya kujitegemea

Kibo Jr

JF-Expert Member
Aug 30, 2018
517
275
Habarini wakuu,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naombeni tushirikishane ni vitu gani muhimu unatakiwa kuwa navyo ama vigezo basics kabla ya kujitegemea kimaisha.

Ahsanteni.
 
Hakuna mwanadamu anayeweza kujitegemea(kuishi mwenyewe mwenyewe) lazima kuwe na watu wanaokuzunguka ndipo wewe uishi.

Binadamu wote tunategemeana, labda sema ni vitu gani unavyotakiwa uwe navyo unapoanza maisha ya kujipangia mahitaji.
 
We bado mdogo ukifika umri wa kujitegemea utajua.
Kimsingi tumetofautiana vipato kwenye familia zetu,
Mwingine anahitaji Subaru forester ili aanze kujitegemea
Mwingine anahitaji subwoofer na mtungi wa gas mdogo ili aanze kujitegemea.

Dhana ya kujitegemea ipo ndani ya uwezo wako je unaweza vipi kujaamiina na jamii inayokuzunguka..ukiweza hilo nenda kajitegemee usiangalie fulani ana nini au alianza na nini
 
We bado mdogo ukifika umri wa kujitegemea utajua.
Kimsingi tumetofautiana vipato kwenye familia zetu,
Mwingine anahitaji Subaru forester ili aanze kujitegemea
Mwingine anahitaji subwoofer na mtungi wa gas mdogo ili aanze kujitegemea.

Dhana ya kujitegemea ipo ndani ya uwezo wako je unaweza vipi kujaamiina na jamii inayokuzunguka..ukiweza hilo nenda kajitegemee usiangalie fulani ana nini au alianza na nini
swadktaaa kabisa
 
Hakuna mwanadamu anayeweza kujitegemea(kuishi mwenyewe mwenyewe) lazima kuwe na watu wanaokuzunguka ndipo wewe uishi.

Binadamu wote tunategemeana, labda sema ni vitu gani unavyotakiwa uwe navyo unapoanza maisha ya kujipangia mahitaji.
Sijakupata mkuu
 
Hakuna mwanadamu anayeweza kujitegemea(kuishi mwenyewe mwenyewe) lazima kuwe na watu wanaokuzunguka ndipo wewe uishi.

Binadamu wote tunategemeana, labda sema ni vitu gani unavyotakiwa uwe navyo unapoanza maisha ya kujipangia mahitaji.
Napenda watu kama nyie, yaani katika kila kitu mnapenda kuonyesha uniqueness kwa hoja, by the way umenifurahisha.
 
Akili ya Maisha
Naunga mkono hoja. Hii ndo point ya kwanza ambayo binafsi naweza sema, kitu cha kwanza ni kujitambua wewe kama wewe, kujua unataka nn na una malengo gani ukijua hilo basi jithathmini uwezo wako kimatendo kufikia malengo hayo.

Ukishajitambua, sahau umri wako nenda kajitegemee usimsikilize yule atakayekuambia wewe bado mdogo kujitegemea.

Baada ya kupitia yote nadhan utapata wakati hata wa kula music kama ninavyokula music hapa, maisha ni kujitambua tu mkuu, huwezi amini unaweza ishi kwa kufanyiwa kazi na mwingine na kulipwa wewe ila kama tu ukijitambua na kuwa na akili ya maisha.
 
Naunga mkono hoja. Hii ndo point ya kwanza ambayo binafsi naweza sema, kitu cha kwanza ni kujitambua wewe kama wewe, kujua unataka nn na una malengo gani ukijua hilo basi jithathmini uwezo wako kimatendo kufikia malengo hayo.

Ukishajitambua, sahau umri wako nenda kajitegemee usimsikilize yule atakayekuambia wewe bado mdogo kujitegemea.

Baada ya kupitia yote nadhan utapata wakati hata wa kula music kama ninavyokula music hapa, maisha ni kujitambua tu mkuu, huwezi amini unaweza ishi kwa kufanyiwa kazi na mwingine na kulipwa wewe ila kama tu ukijitambua na kuwa na akili ya maisha.
Navutiwa sana na uandishi wako mkuu.. thanks 😁😁
 
Back
Top Bottom