MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 274
Kutokana na rasimu ya Katiba Mpya, tutakua na serikali 3 . Sasa tusaidiane kidogo kifikra
"""""""""""""
NINACHOFAHAMU:
"""""""""""""
Ukisema NCHI, nilazima kuwepo na Watu, serikali na Ardhi (Yenye mipaka)
sasa kuhusu Tanzania bara na Tanzania Zanzibar itakuaje??????????
++think in capital letters++
"""""""""""""
NINACHOFAHAMU:
"""""""""""""
Ukisema NCHI, nilazima kuwepo na Watu, serikali na Ardhi (Yenye mipaka)
sasa kuhusu Tanzania bara na Tanzania Zanzibar itakuaje??????????
++think in capital letters++