Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 566
Kuna kipindi mwaka 2007 ilitokaga ngoma flani (nmeisahau kidogo) ila Jay Moe alishirikishwa then kwenye punch za MOE aliandika
"AMANI KWA KAKA VODA MILIONEA// WASHTUE WADOGO ZAKO WAACHE PODA WALE MMEA//"
Halafu ikatoka ngoma ya Langa tena ilitoka ghafla bila kudhamiria kwa madai yao. Ndani kulikua na mistari inayomtaja jamaa huyo huyo ikiwa kama ni reply kwa MOE ikisema.
"AMANI KWA KAKA VODA MILIONEA// MWAMBIE MDOGO AKO AACHE USHOGA NA UMBEA//"
Miaka kadhaa ikapita na bifu lilikua zito kuna mambo mengi yalipita.
Baadae miaka hyo kupta. Mheshimiwa Langa aliachiaga ngoma na kuandika mistari inayosema tena.
"AMANI KWA KAKA VODA BILIONEA// MWAMBIE MOE SIKU HIZI NMEACHA PODA PIA SILI MMEA"
NAAMINI KUNA WATU WALILITAMBUA HILI NA INAEZEKANA WALIJUA NN KILIKUA NYUMA YA PANZIA, NAOMBA TUSHIRIKIANE KULICHAMBUA PIA KUPEANA SHOTS HIZI ZA OLD SCHOOL PIA HUYU KAKA VODA NDO NANI NA ILIKUAJE AKATAJWA.
NINACLIP YA VIDEO ZA NGOMA HIZI SEMA IMEGOMA KUPAKIA.
R.I.P LANGA...
OLD SCHOOL PUNCHES
let's share ideas
"AMANI KWA KAKA VODA MILIONEA// WASHTUE WADOGO ZAKO WAACHE PODA WALE MMEA//"
Halafu ikatoka ngoma ya Langa tena ilitoka ghafla bila kudhamiria kwa madai yao. Ndani kulikua na mistari inayomtaja jamaa huyo huyo ikiwa kama ni reply kwa MOE ikisema.
"AMANI KWA KAKA VODA MILIONEA// MWAMBIE MDOGO AKO AACHE USHOGA NA UMBEA//"
Miaka kadhaa ikapita na bifu lilikua zito kuna mambo mengi yalipita.
Baadae miaka hyo kupta. Mheshimiwa Langa aliachiaga ngoma na kuandika mistari inayosema tena.
"AMANI KWA KAKA VODA BILIONEA// MWAMBIE MOE SIKU HIZI NMEACHA PODA PIA SILI MMEA"
NAAMINI KUNA WATU WALILITAMBUA HILI NA INAEZEKANA WALIJUA NN KILIKUA NYUMA YA PANZIA, NAOMBA TUSHIRIKIANE KULICHAMBUA PIA KUPEANA SHOTS HIZI ZA OLD SCHOOL PIA HUYU KAKA VODA NDO NANI NA ILIKUAJE AKATAJWA.
NINACLIP YA VIDEO ZA NGOMA HIZI SEMA IMEGOMA KUPAKIA.
R.I.P LANGA...
OLD SCHOOL PUNCHES
let's share ideas