dictator cha pombe
JF-Expert Member
- Mar 5, 2018
- 260
- 255
Uno mzee wa kutema SlangAseee kweli, now vipi One The Incredible
Uno mzee wa kutema SlangAseee kweli, now vipi One The Incredible
One anaweza sana but now TYN wanampoteza,,kingereza anaweza sana but but kurap kingleza anaboa,hana Rhyme...Aseee kweli, now vipi One The Incredible
Anasema "when I say I'm better than your favourite, you don't believe it but then your favourite does"Uno mzee wa kutema Slang
Okaaay, dah yaani kutawanyika kwa hawa watu kunatupa shda mashabiki.One anaweza sana but now TYN wanampoteza,,kingereza anaweza sana but but kurap kingleza anaboa,hana Rhyme...
Wewe sasa kama sio Daud sijui..kuna mwana nlisoma nae secondary,nlikua producer wake..kila tukiamka lazima snipe mstari wa langa...hakuna mstari wa langa ambao sijawahi kusikia..ngoma take Rafiki Wa Kweli is my Favorite from himNajua Mambo Mengi Naweza Kumfundisha Dingi Mc # 1
Mfano Wa Mitaani Wapinzan Nawapiga Vichwa Kama Zidane
Duuuuh kumbe?Lakini langa kwani ni mboga 7 alikuwa kawekewa bili ya ngada na mother ake sio kama chid
Toto la kishuaDuuuuh kumbe?
Langa wakishua kasoma loyola hah..Duuuuh kumbe?
Hahahah hahahah alikua anamezaWewe sasa kama sio Daud sijui..kuna mwana nlisoma nae secondary,nlikua producer wake..kila tukiamka lazima snipe mstari wa langa...hakuna mstari wa langa ambao sijawahi kusikia..ngoma take Rafiki Wa Kweli is my Favorite from him
Kaaribika kizembe aisee sema kama maza alichangia ni tatizoToto la kishua
HahahaLanga wakishua kasoma loyola hah..
Well well well,Harakati za okoa hip hpo,hip hop bila madawa kikosi cha mizinga,mo ndani ya jipange,
Langa alipaniki tu kuambiwa ukweli,ila alijisahihisha kwenye kifo,jela au taasis.
Mahaba tu kwa langa kileo..but langa nae kati ya watu wanaotafsiri mistari ya mbele kuifanya take,yupo vizuri..haha but hamzidi fid q tha big copy catHahahah hahahah alikua anameza
"Zam zam!!yako imepta sasa yangu ime-come,nna mpango wa kuuza albam kama ice-cream za azam,wakigusa tu wananasa sababu mzigo mtam"
Hii ngoma ya Langa,tamu sanaaaa
R.I.P
Si kweli mkuu,usomaji wa vitabu humsaidia pia fid q, ata marehemu 2pac aliikuwa msomaji mzuuri wa vitabu akatupatia tungo safiMahaba tu kwa langa kileo..but langa nae kati ya watu wanaotafsiri mistari ya mbele kuifanya take,yupo vizuri..haha but hamzidi fid q tha big copy cat
Mahaba tu kwa langa kileo..but langa nae kati ya watu wanaotafsiri mistari ya mbele kuifanya take,yupo vizuri..haha but hamzidi fid q tha big copy cat
Au sioSi kweli mkuu,usomaji wa vitabu humsaidia pia fid q, ata marehemu 2pac aliikuwa msomaji mzuuri wa vitabu akatupatia tungo safi
Hapana,..fid mistari mingi naiskia daily..hakuna kitu nafanya zaidi ya kutafta hela na kuskiza mziki..Si kweli mkuu,usomaji wa vitabu humsaidia pia fid q, ata marehemu 2pac aliikuwa msomaji mzuuri wa vitabu akatupatia tungo safi