Ndugu wana JamiiForums. Mimi ni mpenzi wa kipindi hiki lakini ninakwazwa sana asubuhi wakati kipindi kinataka kuanza. Kwanza kipindi hakianzi saa 12.30 asubuhi kama ilivyo kwenye ratiba.
Pili kabla ya kipindi kuanza kuna matangazo mengi yanayotangulia na kufanya kipindi kuanza hata 12.37 na tatu mara nyingi wanaomba radhi kwa kutorushwa kwa kipindi. HIVI NI KWA NINI?.
Pili kabla ya kipindi kuanza kuna matangazo mengi yanayotangulia na kufanya kipindi kuanza hata 12.37 na tatu mara nyingi wanaomba radhi kwa kutorushwa kwa kipindi. HIVI NI KWA NINI?.