Momburideo
New Member
- Jul 4, 2021
- 4
- 1
Tuzungumze kuhusu ushirika na kinachoendelea juu ya mabadiliko ya Sheria ya vyama vya ushirika Na. 6 ya mwaka 2013. tuzungumze juu ya Time ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania.
Tuzungumze juu ya umuhimu wa Maafisa ushirika nchini, na je ni kwanini serikali haioni umuhimu wao?
Pia kwanini Tume ya Maendeleo ya Ushirika pia hawajawapa umuhimu Maafisa ushirika wa wilaya?
Pia nini kifanyike?
Tuzungumze juu ya umuhimu wa Maafisa ushirika nchini, na je ni kwanini serikali haioni umuhimu wao?
Pia kwanini Tume ya Maendeleo ya Ushirika pia hawajawapa umuhimu Maafisa ushirika wa wilaya?
Pia nini kifanyike?