Tuzo za Grammy 2016 hatimae zatoa washindi.. Bieber, Kanye, Drake, Adele, watoka patupu!

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Jun 23, 2012
12,321
11,315
Tuzo za Grammy zinaheshimika sana nchini Marekani. Host wa show alikua mzee mzima mwenyewe, L. Cool J. Walioshinda ni wengi kdogo na category ni nyingi kidogo ila hapa nimejaribu kuwaweka wale maarufu.

Record of the year amechukua Mark Ronson ft Bruno Mars 'Uptown funk',
Album of the year kachukua mdada taylor swift, '1989', na pia kachukua tuzo ya best music video, "Bad Blood".

Nyimbo bora ya mwaka imeenda kwa Ed Sheeran, 'thinking out loud', Mzee mzima Kendrick Lamar kachukua tuzo 5,ambazo ni, Best rap album, best rap collabo, best rap song, best rap performance. Kama namuona Kanye West na Drake walivokunja mdomo!

Anyway, Best world album amechukua mwanamama na legend wa kitambo Angelique Kidjo. Pia kwa wapenzi wa reggae, Best reggae album imeenda kwa Morgan Heritage.

Nafikiri Adele na Justin Bieber watawaweka katika tuzo zijazo ama zinazokuja na nna hakika watachukua sana maana nyimbo zao zilizohit kama Hello na Sorry aka Soree zilichelewa kutoka nafkiri ndo mana wametoka patupu... Kwa Drake na wenzie asee wajipange..Kendrick yupo vizuri kwa sasa.

Ni hayo tu!! Pamoja Sana.
 
mi namsikitikiaga tu xbrown sijui Ana gundu gani, kutoa madude makali kote huko Ana tuzo ya Grammy 1 tu
 
Hello ya Adelle imevuma namna hiyo patupu?
Patupu mkuu..hadi wakat anapafom on stage mic sjui ilifanyaje bana nahis hakutegemea angetoka patupu..ndo mana she didn't sing as Adele I know....
Maybe watamueka next Grammy 2017,,,ila tuzo zinazofuata this year she can grab all
 
Drake na Kanye wameambiwa tu asanteni kwa kushiriki duh Kendrick kaubeba utamaduni begani.
Hahaha...wajipange ...kuna tweet ya white house imetoka imempongeza Kendrick... So Mshikaji anakubalika ...so rap is not dead yet!!
 
You got jokes dude!

Unadhani pangekalika humu?

Tweets za BET tu huleta vurumai seuze nominations za GRAMMY?
Umenichekesha sana hommie
Anything is possible banaa!
Sasa kama Angelique kidjo kashinda Grammy and she's from Benin then why not Dangote Diamond Platinumz
Sasa are u saying hajashinda hata BET Au EMI au NAACP awards?
 
SHERRIF ARPst: 15343361 said:
Vipi Diamond Platinumz au Ali Kiba hawakuwa japo nominated for Grammy award yoyote?
Ndugu yangu tuzo za grammy ni kubwa nchini marekani na zinaheshimika ndo mana unaeza kuona hata wenye majina makubwa wanaangukia pua lazima ufanye kazi ya ziada na zaid hua wanaangalia vitu vingi sana ktk kuchagua washindi..Adele na nyimbo yake ya Hello hadi saivi imeangaliwa Mara bilioni moja na milioni 181, but hajapata tuzo...anyway tuombe Mungu na sisi vijana wetu hawa watawekwa kwenye category one day...ila juhud kubwa na ubunifu vinahitajika ...like Angelique Kidjo
 
Back
Top Bottom