Kwani yeye nani,wamepita mastaa kibao Maradona kisha akauzwa Napoli,Romario,Ronaldo Lima,Gaucho,Etoo,StoichkovYaani unamaana Messi asugue benchi Barca? You must be dreaming. Hebu angalia stats zake za game alizocheza ukulinganisha na mchezaji mwingine yoyote Barca. Kaka huyo sio Rooney!!
rekodi yake ya magoli wapo kina Kubala miaka ya 40 mhungary 196,Rodriguez magoli 235 miaka ya 55 mspain enzi hizo,Messi wa 5 ana magoli 158 mpaka sasa hivi michuano yote,