mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Msanii namba moja Tanzania na Afrika Mashariki,Diamond Platnumz amechaguliwa kuwania categories TANO kwenye mashindano ya muziki ya Afrika yanayoandaliwa nchini Marekani.
Muhenga yeye amechaguliwa kwenye category moja. Hili ni pigo sana kwake na ushindi mkubwa sana kwa Simba.
Pia wapo wasanii wengine kutoka Tanzania. Pia yupo mtayarishaji wa muziki Tudd Thomas na mkata viuno wa Diamond, Mose Iyobo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhenga yeye amechaguliwa kwenye category moja. Hili ni pigo sana kwake na ushindi mkubwa sana kwa Simba.
Pia wapo wasanii wengine kutoka Tanzania. Pia yupo mtayarishaji wa muziki Tudd Thomas na mkata viuno wa Diamond, Mose Iyobo.
Sent using Jamii Forums mobile app