Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Tunafuraha kuona mchuano mkali wa kisiasa Tanzania kwa sababu wapo watu walikataa kufika bei wakabaki imara bila kutetereka. Mmoja wapo ni Mhe. Mbowe, udhalilishaji, hujuma, ufilisi wa mali zake na kesi mbalimbali dhidi yake ikiwemo kulala jela havikumrudisha nyuma vilimfanya asonge mbele.
Mhe. Mbowe ni mzee sasa anakaribia au ana umri wa miaka 60 akiwa amezaliwa kwenye utajiri lakini ameacha apoteze mali na fedha ila asimamie Demokrasia ya nchi.
Watu kama hawa uzaliwa wachache, tuna kila sababu yakumpongeza na kumpa nishani ya kusimamia haki, amani na uvumilivu.
Nakumbuka namna yule kijana wa Morogoro alivyomdhalilisha Bungeni, nakumbuka alivyotuhumiwa akapelekwa Takukuru; nakumbuka alivyokwenda Segerea; nakumbuka alivyovumilia matusi ya vijana aliowalea kwenye chama, yupo strong. Nimwombee aendelee kuwa strong huko tuendako.
AHASANTE SANA MHE MBOWE KWA KUTUONESHA UMUHIMU WAKUSIMAMA NA WANAOTESEKA.
Mhe. Mbowe ni mzee sasa anakaribia au ana umri wa miaka 60 akiwa amezaliwa kwenye utajiri lakini ameacha apoteze mali na fedha ila asimamie Demokrasia ya nchi.
Watu kama hawa uzaliwa wachache, tuna kila sababu yakumpongeza na kumpa nishani ya kusimamia haki, amani na uvumilivu.
Nakumbuka namna yule kijana wa Morogoro alivyomdhalilisha Bungeni, nakumbuka alivyotuhumiwa akapelekwa Takukuru; nakumbuka alivyokwenda Segerea; nakumbuka alivyovumilia matusi ya vijana aliowalea kwenye chama, yupo strong. Nimwombee aendelee kuwa strong huko tuendako.
AHASANTE SANA MHE MBOWE KWA KUTUONESHA UMUHIMU WAKUSIMAMA NA WANAOTESEKA.