kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,293
- 12,593
Kufuatia kifo Cha Floyd kwa sababu za kibaguzi, dunia inapambana kuondoa kumbukumbu mbaya kwa mwafrika dhidi ya wazungu na watu weupe.
Wakati wenzetu wakipambana kuvunja masanamu ya watu walioutweza uafrika huko nyuma sisi tunazitunza eti kuja kuwaonyesha wazungu ili watupe fedha. Mimi sijawahi kuona mzungu akisikitika, kutoa machozi na kujutia anapoonyeshwa masalia ya utumwa na ukoloni. Badala yake inazidi kuwakumbusha ubora wao dhidi ya watu wengine hasa waafrika.
Huu Ni muda ya kupoteza kabisa masalia yoye ya kumbukumbu mbaya dhidi ya mwafrika Kama vile minyororo ya watumwa, miti walimonyongewa waafrika, masoko ya watumwa, makubuli ya watu waliowatweza watu weusi, nk ili kuungana na vita ya ubaguzi wa mtu mweusi.
Wakati wenzetu wakipambana kuvunja masanamu ya watu walioutweza uafrika huko nyuma sisi tunazitunza eti kuja kuwaonyesha wazungu ili watupe fedha. Mimi sijawahi kuona mzungu akisikitika, kutoa machozi na kujutia anapoonyeshwa masalia ya utumwa na ukoloni. Badala yake inazidi kuwakumbusha ubora wao dhidi ya watu wengine hasa waafrika.
Huu Ni muda ya kupoteza kabisa masalia yoye ya kumbukumbu mbaya dhidi ya mwafrika Kama vile minyororo ya watumwa, miti walimonyongewa waafrika, masoko ya watumwa, makubuli ya watu waliowatweza watu weusi, nk ili kuungana na vita ya ubaguzi wa mtu mweusi.