Nimeona mwembe sehemu nilichoka!yaani ule umebakwa na kunajisiwa haswa!umejaa mimba (maembe) kiasi kwamba mwenye shamba kayatandukia viroba yasichafuke kwa jinsi yanavyo garagara kama maboga na mwembe wenyewe kama ulipitia kuruka viunzi unauruka pasina shaka!
Tahadhari haya mambo wasituletee kwa binti zetu mara unakuta mtoto ana mika 5 unajiandaa kuitwa babu wataalam wamesha mpevusha mapema na mabazazi wameshafanya yao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.