Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,396
- 6,363
Hawa ni wale wenye mawazo ya kutumia ungo wakidhani wana utaalumu kuliko wengine kuishia kudunguliwa kwenye anga za wengine tena wadunguaji wanamuacha hadi mchana kweupe ili aumbuke ni lazima tukubali kwamba tuko nyuma kitekinologia kila tukio hapa duniani lina naswa na satelliteUna siri gani wewe wakati mataifa makubwa kama China; Marekani; Urusi na nchi za ulaya pia huwatumia hawa wapelelezi inapobidi.
Ukiona technologia yako inafeli si dhambi kutumia ya mwenzako!!