watanzania wenzangu tujifunze kutoka kwa wenzetu wachaga. Shule za kata huko Kilmanjaro zilianza miaka mingi. Leo viongozi wetu wetu wanatusambazia urithi huu wa elimu tunawabeza. Mmeona faida ya elimu k wa wenzetu? Karibu kila mchaga ana kazi ya maana na wala sio ukabila ni elimu.