BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,313
Acha kabisa hii rival hapa watu wangu wa nguvu...back in time nakuambia hapo mamtoni niko club moja unaambiwa dj anachukua mic then anasema kwa saut kubwa ..."all motherfkn east side come this side and all mthrfkn westside come to this side" yan hapo tunagawanyika ...then zinaanza kupigwa track za kila upande wa tupac na upande wa big...balaa acha kabisa wakat huo early 90's ndo bifu limekua very hot ...na ndo hit em' up track ilikua realeased .....hahaaha aiseeee...old school fellas ..