Sasa wewe si umeshaweka?,haina haja ya kurudia.Unafiki tu unawasumbueni,kwanini hamuweki picha za Lowassa za zamani kama hao wengine?
Hii hapa basi...View attachment 373693
Ila hii huwa inaniacha hoi
Hah hah hah hah hah, hivi nyie watu where do you get these stuffs. I am scared, msije mkawa na picha za watu wakiwa faraghaUnafiki tu unawasumbueni,kwanini hamuweki picha za Lowassa za zamani kama hao wengine?
Hii hapa basi...View attachment 373693
Yawezekana hawakuwa nazo mkuu lakn mbona kama umejaa upepoUnafiki tu unawasumbueni,kwanini hamuweki picha za Lowassa za zamani kama hao wengine?
Hii hapa basi...View attachment 373693
Hah hah hah hah hah, hivi nyie watu where do you get these stuffs. I am scared, msije mkawa na picha za watu wakiwa faragha
Basi wasingeweka kabisa...Yawezekana hawakuwa nazo mkuu lakn mbona kama umejaa upepo
Unafiki tu unawasumbueni,kwanini hamuweki picha za Lowassa za zamani kama hao wengine?
Hii hapa basi...View attachment 373693
JF mnawajua watu kuliko wanavyojijua wenyewe. Siajabu wahusika hizo picha walishazisahau na hawajui ziliko. But you people have them all
Tena nilikuwa nazo nyingi sana za kipenzi changu Lowassa...
Hiyo ndiyo niliyoipata kwa urahisi.
Sina picha za aina hiyo mkuu (faragha)
Basi mkuu nmeshakuelewa..Basi wasingeweka kabisa...
Hivi picha za mwaka jana ni zamani?
Sio black hair tu...Kumbe lowassa alikuwaga na black hair!