Wakuu, inawezekana hapa ikawa si jukwaa sahihi sana kwa hii post.
Lakini nimeiweka kwa kuwa naamini michezo ni siasa, na pengine wazo hili linaweza kuchukuliwa na kupelekwa sehemu sahihi: Timu zetu za Taifa, tuanza na wa miguu! Majina, ni mepese mno!
Kilimanjaro Stars! Jina hili maana yake ni finyu sana, halibebei dhana nzima ya Umuhimu na uzito wa mlima huu mrefu kuliko yote barani Afrika.
Nyota { Stars? } ziko kila mahali: Isitoshe, si wote kwa kutaja tu kilimanjaro wanapata picha ya kuwapo kwa mlima huo!
Kwa nini wasiitwe, say KILIMANJARO CLIMBERS?
Tazama hii, Serengeti ni mbuga kubwa na ina wanyama wengi! Timu unaiita : Serengeti Boys? Kwa nini?!!!!!
Pengine ingekuwa bora zaidi kuiita: SERENGETI GAME RANGERS!
Majina haya ya kubweteka betweka yanatufanya tunakosa ushindani, tunafungwa, watu wanacheke! Badili hivi vitu, jina hubeba maana!
Lakini nimeiweka kwa kuwa naamini michezo ni siasa, na pengine wazo hili linaweza kuchukuliwa na kupelekwa sehemu sahihi: Timu zetu za Taifa, tuanza na wa miguu! Majina, ni mepese mno!
Kilimanjaro Stars! Jina hili maana yake ni finyu sana, halibebei dhana nzima ya Umuhimu na uzito wa mlima huu mrefu kuliko yote barani Afrika.
Nyota { Stars? } ziko kila mahali: Isitoshe, si wote kwa kutaja tu kilimanjaro wanapata picha ya kuwapo kwa mlima huo!
Kwa nini wasiitwe, say KILIMANJARO CLIMBERS?
Tazama hii, Serengeti ni mbuga kubwa na ina wanyama wengi! Timu unaiita : Serengeti Boys? Kwa nini?!!!!!
Pengine ingekuwa bora zaidi kuiita: SERENGETI GAME RANGERS!
Majina haya ya kubweteka betweka yanatufanya tunakosa ushindani, tunafungwa, watu wanacheke! Badili hivi vitu, jina hubeba maana!