Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,087
- 1,913
Mapenzi ni kitu cha ajabu,mtu anaweza akakupenda au ukapendwa na mtu ukatafuta alichokupendea au alichompendea mtu yule hukioni
Tuweke vigezo ambavyo mpenzi wako alikupendea mara baada ya kuingia kwenye mahusiano eitha alikwambia au uligundua mwenyewe alichokupendea
Mwanamke wa kwanza alinipendea jina langu,aliniambia kwamba nilipomwambia jina langu tu akaanza kunipenda kuanzia hapo
Wa pili,Nilivyokuwa najieleza,aliniambia ulivyokuwa unajieleza kwa kusita ,ulikuwa huongei mfululizo,unaongea kwa vituo kwa kusita kujifanya kushindwa kutamka baadhi maneno hapo tu ndo nikazimika na wewe
Wa tatu,ulivyonilipia chakula hotel baada ya kupoteza hela,mwenye hotel alivyokuwa amenibana vile ukajitokeza kunilipia tena hela ndefu vile nilikuona wewe ni mwanaume wa kweli
NNE,Ulivyokuwa unanipa hela mara kwa mara,hata bila kukuomba,nashtukia tu chukua hii 20 ukatumie,nilikuona mwanaume ni wewe unayenijali muda wote
Tano,ulivyokuwa serious na Mimi,kila dakika unanifuatilia,kila sehemu upo nyuma yangu,nikaona isiwe kero ngoja nikukubali
Sita,Ulivyonipeleka disco,ulivyokuwa unacheza na mimi, na zile nyimbo zilivuta hisia na kujikuta nakukubalia
Saba,niligundua mwenyewe kuwa huyu mwanamke kanipendea kazi niliyokuwa nayo maana jobless alikuwa haingii nao kwenye mahusiano
Nane,niligundua baada ya mazoea kuzidi tukiwa chuo ,mara kwa mara tunatembeleana room tukajikuta tunaingia
Tisa,Nilivyokuwa smart kuvaa,siku moja aliniambia sipendi mwanaume anakuwa rafu
Kumi,kila siku jioni nenda kwa Fulani mchoma chipsi akupe chipsi na soda,nikagundua amenipendea ofa ya chipsi,wanafunzi bwana( miaka30)
Kumi na moja ,kumpa mtaji wa biashara,hicho tu tukaingia kwenye mahusiano,akanipenda
Kumi na mbili,yeye alikuwa hajui kupenda,kila aliyekuwa anaomba game anamkubalia
Kumi na tatu,nilimbaka vichakani,akawa amenichukia ila baada ya wiki moja akaniita mwenyewe na kuniambia ananipenda
Ila hii ya mwisho sikushauri utaingia gerezani
Tuweke vigezo ambavyo mpenzi wako alikupendea mara baada ya kuingia kwenye mahusiano eitha alikwambia au uligundua mwenyewe alichokupendea
Mwanamke wa kwanza alinipendea jina langu,aliniambia kwamba nilipomwambia jina langu tu akaanza kunipenda kuanzia hapo
Wa pili,Nilivyokuwa najieleza,aliniambia ulivyokuwa unajieleza kwa kusita ,ulikuwa huongei mfululizo,unaongea kwa vituo kwa kusita kujifanya kushindwa kutamka baadhi maneno hapo tu ndo nikazimika na wewe
Wa tatu,ulivyonilipia chakula hotel baada ya kupoteza hela,mwenye hotel alivyokuwa amenibana vile ukajitokeza kunilipia tena hela ndefu vile nilikuona wewe ni mwanaume wa kweli
NNE,Ulivyokuwa unanipa hela mara kwa mara,hata bila kukuomba,nashtukia tu chukua hii 20 ukatumie,nilikuona mwanaume ni wewe unayenijali muda wote
Tano,ulivyokuwa serious na Mimi,kila dakika unanifuatilia,kila sehemu upo nyuma yangu,nikaona isiwe kero ngoja nikukubali
Sita,Ulivyonipeleka disco,ulivyokuwa unacheza na mimi, na zile nyimbo zilivuta hisia na kujikuta nakukubalia
Saba,niligundua mwenyewe kuwa huyu mwanamke kanipendea kazi niliyokuwa nayo maana jobless alikuwa haingii nao kwenye mahusiano
Nane,niligundua baada ya mazoea kuzidi tukiwa chuo ,mara kwa mara tunatembeleana room tukajikuta tunaingia
Tisa,Nilivyokuwa smart kuvaa,siku moja aliniambia sipendi mwanaume anakuwa rafu
Kumi,kila siku jioni nenda kwa Fulani mchoma chipsi akupe chipsi na soda,nikagundua amenipendea ofa ya chipsi,wanafunzi bwana( miaka30)
Kumi na moja ,kumpa mtaji wa biashara,hicho tu tukaingia kwenye mahusiano,akanipenda
Kumi na mbili,yeye alikuwa hajui kupenda,kila aliyekuwa anaomba game anamkubalia
Kumi na tatu,nilimbaka vichakani,akawa amenichukia ila baada ya wiki moja akaniita mwenyewe na kuniambia ananipenda
Ila hii ya mwisho sikushauri utaingia gerezani