njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
- Thread starter
- #21
Huyo anayeitaga watu kilo 800, kuchekelea ajali ya yanga ndiye anayefaa siyo? Huyu hapa anayelialia kwamba Bumbuli siyo mtu mzuri baada ya kulalamikiwa kushangilia ajali mbaya ya yanga ndiye mwanamichezo siyo?Mods futeni hii takataka haifai kuwepo mbele yetu wanasoka
INASHANGAZA SANA KWA KWELI: HUYU MTU AKIDHALILISHA WATU MNAFURAHI SANA NA KUMUONA HERO, yeye akiguswa ni dhambi kabisaaaaaaaaaa