Tuwe wazalendo kwa nchi yetu pendwa Tanzania

malichi

Member
Nov 7, 2018
79
86
Uzalendo
Uzalendo
(patriotism )ni hali ya mtu kuipenda, kuithamini na kujitoa kwa ajili ya nchi yake kwa msingi wa kabila, utamaduni, siasa au historia. Inakaribiana sana na Utaifa.Uzalendo ukizidi kiasi cha kulitetea taifa huitwa uzalendo kipofu au uzalendo bubu.

Tujiulize mioyoni mwetu ni kwa kiwango gani hali ya kuipenda, kuithamini na kujitoa kwa ajiri ya nchi yetu inatawala mioyoni Mwetu? Kunawakati ambapo Nchi inakabiliwa na matishio au migogoro aidha ya kiuchumi, kisiasa au kidiplomasia dhidi ya mataifa mengine, jambo la kushangaza watanzania wengi wanashangilia na kuungana na maadui wa nchi kushabikia mgogoro husika, hapana huu sio uzalendo hata kidogo badala yake inatakiwa wote kwa pamoja bila kujali itikadi za dini, kabila wala vyama vyetu vya siasa tunaungana pamoja kupigania nchi yetu. Baada ya kuhakikisha inchi iko salama ndio tunaanza kukamatana mwizi , tukifanya hivyo hata kiongozi ambae tunasema ashauriki hakika nakuambia atakusikiliza hoja zako kwakuwa alikuona ukimsaidia wakati akiwa katika vita husika.
2.jpg



Naomba watanzania tuamshe hali yetu ya Uzalendo kwa nchi yetu kwa mslahi Mapana ya Taifa letu mama Tanzania “in Mbatia ‘s Voice
#UzalendoKwanza
#ChangeTanzania
#OperetionKorosho
 
Uzalendo
Uzalendo
(patriotism )ni hali ya mtu kuipenda, kuithamini na kujitoa kwa ajili ya nchi yake kwa msingi wa kabila, utamaduni, siasa au historia. Inakaribiana sana na Utaifa.Uzalendo ukizidi kiasi cha kulitetea taifa huitwa uzalendo kipofu au uzalendo bubu.

Tujiulize mioyoni mwetu ni kwa kiwango gani hali ya kuipenda, kuithamini na kujitoa kwa ajiri ya nchi yetu inatawala mioyoni Mwetu? Kunawakati ambapo Nchi inakabiliwa na matishio au migogoro aidha ya kiuchumi, kisiasa au kidiplomasia dhidi ya mataifa mengine, jambo la kushangaza watanzania wengi wanashangilia na kuungana na maadui wa nchi kushabikia mgogoro husika, hapana huu sio uzalendo hata kidogo badala yake inatakiwa wote kwa pamoja bila kujali itikadi za dini, kabila wala vyama vyetu vya siasa tunaungana pamoja kupigania nchi yetu. Baada ya kuhakikisha inchi iko salama ndio tunaanza kukamatana mwizi , tukifanya hivyo hata kiongozi ambae tunasema ashauriki hakika nakuambia atakusikiliza hoja zako kwakuwa alikuona ukimsaidia wakati akiwa katika vita husika.View attachment 931660


Naomba watanzania tuamshe hali yetu ya Uzalendo kwa nchi yetu kwa mslahi Mapana ya Taifa letu mama Tanzania “in Mbatia ‘s Voice
#UzalendoKwanza
#ChangeTanzania
#OperetionKorosho
Umesomeka bro
#Uzalendo Kwanza
#Change Tanzania
#Operetion Korosho
 
Leo hii wastaafu wanalia, wafanyakazi hoi, bajeti za maendeleo hazitekelezeki; n.k na hii yote inatokana na matumizi mabovu ya fedha za umma kwa mtu mmoja kupanga matumizi atakavyo.

Kwenye hili la korosho nalo linaweza tu kuongeza matatizo maana gharama itakuwa kubwa na hizo hela zitatolewa serikalini na kuna mipango itakwama.

Watu walishauri serikari iruhusu wafanyabiashara wanunue kwa bei ya 2700 kwa kilo alafu serikali ijazie hiyo sh 300 lakini serikali imepuuza huu ushauri kisa kutafuta sifa.

Actually, serikali haitanunua kwa bei hiyo ya shilingi 3,300 kwa kilo kwani kuna gharama nyingine kubwa tu ya kulipa posho za wanajeshi,chakula na malazi, mafuta ya magari,ubanguaji, n.k hivyo gharama kwa kilo inakwenda kuwa kubwa zaidi.

Serikali ikifanikiwa kufanya biashara kwa faida ndio itakuwa bahati yetu, vinginevyo hiyo hasara ni mimi na wewe ndio itatuhusu na itatuhusu kwasababu fedha ambazo zingetumika kwenye shughuli za maendeleo na kuhudumia jamii kama elimu, afya, n k zinakwenda kupotea.

Hiyo habari ya Benki kutoa hizo fedha ni zuga tu kwani mtaji wa hiyo benki tunaambiwa ni mdogo hivyo watachofanya ni kuchota hela Benki Kuu na kununulia hizo korosho au wabadili matumizi ya mafungu yaliyoko kwenye bajeti kienyeji huku wakiathiri mipango mingine ya maendeleo.

Usishange pia tukajikuta tunalazimika kukopa either kununua hizo korosho au kufidia hela zitakazopotea kutokana na hii biashara na hivyo kuongeza deni la Taifa.

Kumbuka teyari kamati ya bunge ya bajeti imependekeza kuwe na ukomo wa serikali kukopa kutokana na hatari ya mapato yote ya ndani kutumika kuhudumia deni la Taifa

Kamati ya Bunge ya Bajeti yahofia makusanyo yote ya serikali kutumika kuhudumia deni la Taifa, yataka kuwe na ukomo wa kukopa - JamiiForums
 
Leo hii wastaafu wanalia, wafanyakazi hoi, bajeti za maendeleo hazitekelezeki; n.k na hii yote inatokana na matumizi mabovu ya fedha za umma kwa mtu mmoja kupanga matumizi atakavyo.
Kweli kabisa kamanda!
Jamaa ametuudhi sana kuamua kununua korosho za wakulima.
Sasa sijui Zitto atatoka vipi sijui, wakati hapo ndo alipokuwa amepanga kujipatia kiki.
 
Kweli kabisa kamanda!
Jamaa ametuudhi sana kuamua kununua korosho za wakulima.
Sasa sijui Zitto atatoka vipi sijui, wakati hapo ndo alipokuwa amepanga kujipatia kiki.
Huyu JPM ndio katufikisha hapa baada ya kukwapua hela za bodi ya korosho na haya ndio matokeo yake.Kulikuwa hakuna haja ya serikali kufanya hii biashara bali bodi ya korosho wangemalizana na wakulima wao na isitoshe kina Zitto walishapendekeza kuwe na fao la bei serikali ikapuuza.

Anachofanya Magufuli ni kurekebisha makosa yake tena kwa kutumia njia zisizo sahihi na kwasababu ana madaraka makubwa, hiyo ndio advantage yake kuyatumia kufunika makosa yake.

Tuombe Mungu tu huu uamuzi usilete hasara vinginevyo hili teyari ni tatizo.
 
Huyu JPM ndio katufikisha hapa baada ya kukwapua hela za bodi ya korosho na haya ndio matokeo yake.Kulikuwa hakuna haja ya serikali kufanya hii biashara bali bodi ya korosho wangemalizana na wakulima wao na isitoshe kina Zitto walishapendekeza kuwe na fao la bei serikali ikapuuza.

Anachofanya Magufuli ni kurekebisha makosa yake na kwasababu ana madaraka makubwa, hiyo ndio advantage yake kuyatumia kufunika makosa yake.

Tuombe Mungu tu huu uamuzi usilete hasara vinginevyo hili teyari ni tatizo.
Bodi ya korosho mbona ilishamalizana na wakulima kamanda?
Ilishawaambia kilo ni buku jero tu! kiherehere tu cha Magu kupandisha hadi 3300/=
Jamaa ANAUDHI!
Halafu ni kweli kabisa, Magufuli anapenda sana KUREKEBISHA makosa.
Hajui kuwa kuna watu huku tunataka makosa YAENDELEEE tu.
Tunapata TAABU SAAAAAANA!
 
Bodi ya korosho mbona ilishamalizana na wakulima kamanda?
Ilishawaambia kilo ni buku jero tu! kiherehere tu cha Magu kupandisha hadi 3300/=
Jamaa ANAUDHI!
Halafu ni kweli kabisa, Magufuli anapenda sana KUREKEBISHA makosa.
Hajui kuwa kuna watu huku tunataka makosa YAENDELEEE tu.
Tunapata TAABU SAAAAAANA!
Nyie ni wajinga tu.Hizo hela anatoa serikalini na wala hangalii hali ya soko ikoje bali anatafuta sifa tu.

Ana-create matatizo kizembe na anayarekebisha kwa kutumia njia zisizo sahihi na wanaoumua ni wananchi.

Kafanya hivyo kwenye makinikia na leo tayari tuna kesi na walikuwa wanafanya siri kuficha aibu.
 
Nyie ni wajinga tu.Hizo hela anatoa serikalini na wala hangalii hali ya soko ikoje bali anatafuta sifa tu.

Ana-create matatizo kizembe na anayarekebisha kwa kutumia njia zisizo sahihi na wanaoumua ni wananchi.

Kafanya hivyo kwenye makinikia na leo tayari tuna kesi na walikuwa wanafanya siri kuficha aibu.
Ni kweli kamanda.
Magu hajui anavyotuumiza anaporekebisha bei kutoka Buku jero hadi 3300?=
TUNAUMIA SAAAAANA! hajui tu.
 
Bodi ya korosho mbona ilishamalizana na wakulima kamanda?
Ilishawaambia kilo ni buku jero tu! kiherehere tu cha Magu kupandisha hadi 3300/=
Jamaa ANAUDHI!
Halafu ni kweli kabisa, Magufuli anapenda sana KUREKEBISHA makosa.
Hajui kuwa kuna watu huku tunataka makosa YAENDELEEE tu.
Tunapata TAABU SAAAAAANA!
:D:D:D:D
 
Kila MTU apambane na hali yake kwani sie ndo tuliowatuma muwaweke wahindi ndani kwa kesi feki za chuki zenu
Uzalendo
Uzalendo
(patriotism )ni hali ya mtu kuipenda, kuithamini na kujitoa kwa ajili ya nchi yake kwa msingi wa kabila, utamaduni, siasa au historia. Inakaribiana sana na Utaifa.Uzalendo ukizidi kiasi cha kulitetea taifa huitwa uzalendo kipofu au uzalendo bubu.

Tujiulize mioyoni mwetu ni kwa kiwango gani hali ya kuipenda, kuithamini na kujitoa kwa ajiri ya nchi yetu inatawala mioyoni Mwetu? Kunawakati ambapo Nchi inakabiliwa na matishio au migogoro aidha ya kiuchumi, kisiasa au kidiplomasia dhidi ya mataifa mengine, jambo la kushangaza watanzania wengi wanashangilia na kuungana na maadui wa nchi kushabikia mgogoro husika, hapana huu sio uzalendo hata kidogo badala yake inatakiwa wote kwa pamoja bila kujali itikadi za dini, kabila wala vyama vyetu vya siasa tunaungana pamoja kupigania nchi yetu. Baada ya kuhakikisha inchi iko salama ndio tunaanza kukamatana mwizi , tukifanya hivyo hata kiongozi ambae tunasema ashauriki hakika nakuambia atakusikiliza hoja zako kwakuwa alikuona ukimsaidia wakati akiwa katika vita husika.View attachment 931664


Naomba watanzania tuamshe hali yetu ya Uzalendo kwa nchi yetu kwa mslahi Mapana ya Taifa letu mama Tanzania “in Mbatia ‘s Voice
#UzalendoKwanza
#ChangeTanzania
#OperetionKorosho
 
Je watatunua Miaka yote? Vipi mazao mengine MBONA kuna upendeleo
Kweli kabisa kamanda!
Jamaa ametuudhi sana kuamua kununua korosho za wakulima.
Sasa sijui Zitto atatoka vipi sijui, wakati hapo ndo alipokuwa amepanga kujipatia kiki.
 
Ni kweli kamanda.
Magu hajui anavyotuumiza anaporekebisha bei kutoka Buku jero hadi 3300?=
TUNAUMIA SAAAAANA! hajui tu.

Hiyo Bei wala haija rekebishwa ,ni kaamua tu kutuumiza Watanzania wote kwa kutumia Kodi zetu ili kuficha Aibu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom