mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,349
lugha haina mahusiano ya moja kwa moja na mafanikio ya kimuziki maana muziki wenyewe ni lugha ambayo mtu yoyote anaweza kuoilewa tatizo liko kwenye uwekezaji ie vipaji vipya, tekinologia,ubunifu n.kKwenye suala la lugha umezungumza jambo lenye ukweli sana, nchi nyingi za West Africa huwa wanaimba kiingereza na kifaransa, lugha ambazo zinazungumzwa sana duniani. Kiufupi wasaniii wote wakubwa barani Afrika ambao wamewahi kushinda tuzo kubwa kama Grammy, aidha wanaimba kiingereza, kifaransa au wanafanya folk-music kama Lady Smith Black Mambazo.